Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Sijawahi kuwa naye hata hivyoUmuache mama yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuwa naye hata hivyoUmuache mama yetu
Ngoja nisubiri jibu utakalojibiwa [emoji2089][emoji2089][emoji2089]Wivu,Chuki,Husda,Kijicho kwa mh Rais wa nchi..haisaidii,haitakusaidia ww wala wenye roho za choyo na vizabizabina wengineo kama ww..
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Uko sahihi, tukienda hivi tuendavyo lazima tutumbukie shimoni." Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Uko sahihi, tukienda hivi tuendavyo lazima tutumbukie shimoni.
Nimeshakupiemu tayari. Ninakusikilizia.Unanikana? Njoo pm bna
Nakupenda sana. unajua kwa nini nakupenda? kwa sababu unajiamini kama mimi." Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Mpira au ni Mtu wa 'System' tu Mkuu yuko katika Jukumu 'Maalum' dhidi yangu kutokana na :Mada' zangu za Kumkosoa 'Miss Levy' Wenu hapa JamiiForums?Haya sasa,mpira huo umejileta wenyewe mwamba😂😂😂
Ova
Kumbe 'Mabebi' wako hapa JamiiForums tupo wengi hivi? Tafadhali naomba nikuache na huyo na Mimi nimtafute Wangu wa peke yangu kwani sipendi Kushea 'Mbunye' kabisa sawa?Happy new year baba watoto
Umeushirikisha vyema Ubongo wako na ukakuambia uje na Pumba Kali kama hii ya Kufungulia mwaka 2022 Mkuu?Kwa upande mwingine,,,wabongo wengi wanachaguwa kazi, na wengine co watu wa kazi, ni watu wa kukaa nyumbani na kutegemea wazazi wawahudumie.
Ahsante Mkuu nami Ninakupenda sana.Nakupenda sana. unajua kwa nini nakupenda? kwa sababu unajiamini kama mimi.
Jibu kwa hoja,sio mipasho!Wivu,Chuki,Husda,Kijicho kwa mh Rais wa nchi..haisaidii,haitakusaidia ww wala wenye roho za choyo na vizabizabina wengineo kama ww..
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Mimi napendwa na wengi .na Mimi.nafanya hivo hivo yaani jikazeKumbe 'Mabebi' wako hapa JamiiForums tupo wengi hivi? Tafadhali naomba nikuache na huyo na Mimi nimtafute Wangu wa peke yangu kwani sipendi Kushea 'Mbunye' kabisa sawa?
Kazi ziko nyingi ni kweli,ila sisi tunataka kuajiriwa tu,kuuza makande,kuuza chipsi ni sehemu tu ya kazi" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Tafadhali nikija Kung'olewa Meno kwa Bisibisi au Plaizi na kutupwa Maeneo ya Mahaba Beach Ununio usiache kuja Kuniokota sawa Mkuu.Eh wenzetu wana bahati aise
Ova
Wewe!!!??? [emoji44][emoji44][emoji44]Wengine sisi NI madereva ukitaka reseni si chini ya laki 1 na nusu ndo upate reseni.
Haya Basi tufungulieni milango tutoke tukatafute hata nchi jirani ukienda kuomba passport maswali kibao Kama upo polisi na bila laki 2 haupati passport.
Sasa mnataka tufanye kazi gani ?
Au ndo ile ya kuokota makopo mtaani ndo anasema kazi kibao?
GENTAMYCINE tunasubiri umjibu huyu!Wivu,Chuki,Husda,Kijicho kwa mh Rais wa nchi..haisaidii,haitakusaidia ww wala wenye roho za choyo na vizabizabina wengineo kama ww..
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Ili nikipata BAN muwe mnakenua mliko?GENTAMYCINE tunasubiri umjibu huyu!