Mimi napendwa na wengi .na Mimi.nafanya hivo hivo yaani jikaze
Sawa mzeheUmeushirikisha vyema Ubongo wako na ukakuambia uje na Pumba Kali kama hii ya Kufungulia mwaka 2022 Mkuu?
Magufuli c alikuwa dikteta na mama anaupiga mwingi,.. haya twendeni tu na asiye diktetaMama ashapima upepo anajua vijana hawamkubali kabisaa kaona awatukane kihvyo
Vijana wametafuta fursa za biashara ndogondogo kwa jasho na damu lakn ameamua kuwafukuza wasionekane waende porin wakauzie biashara zao huko atanunua Nani?
Kijana akiamua kufanya kilimo Leo mfuko wa mbolea tsh 102000/= serikali baitoi ruzuku hata kidogo
Kijana huyo huyo akiamua kulima kiugumu Bado serikal inambana Bei ya mazao ndogo inamzuia kuuza nje kwenye Bei nzuri
Kiukwel huyu mzanzibar ameota pembe kabisa maneno yake ya siku hiz mbili n shida Sana anachamba na si kutoa matumaini kwa wananchi
TUMEBUGI SANA KUMPA MADARAKA HUYU MZANZIBAR
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ulijinadi kuwa umesoma chuo bora Tanzania, sasa unashindwaje kuziona fursa kedekede zilizopo Tanzania." Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.