DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #61
Nimeona hilo na kuna watu humu wamesema wazi wazi kabisa kuwa Tatzo ni uislamu...Tatizo siyo Waarabu, tatizo Waislam. Ingekuwa huyo Mwarabu anaitwa George Elias, wala usingesikia malalamiko, ungeona anasifiwa.
Hii nchi wajinga ni wengi.
Mama samia ni kichwa, unafikiri hata TEC, nia na madhumuni ilikuwa ni uchokozi tu wa wazi, kwani walishindwa kuongea na serikali kimya kimya.
Hata TEC imewauma jana, nilikuwa nawatazama walivyovimbisha nyuso.
Jifunze uelewe,Yeah imerekebishwa na ndo hivyo vipengele nilivyoweka hapo
Hebu nipe hiyo historia mkuu ukiweka na miaka kama itakupendeza mie imentoka kidogoNi kweli waarabu ni tatizo.
Nadhani unajua historia walichowafanya babu zetu.
Na Pia mfano mdogo mwingine kule Loliondo.
We pindisha tu, ila mabadiriko yote sababu ni waraka wa TEC..!! Hutaki acha..!!Tatizo siyo Waarabu, tatizo Waislam. Ingekuwa huyo Mwarabu anaitwa George Elias, wala usingesikia malalamiko, ungeona anasifiwa.
Hii nchi wajinga ni wengi.
Mama samia ni kichwa, unafikiri hata TEC, nia na madhumuni ilikuwa ni uchokozi tu wa wazi, kwani walishindwa kuongea na serikali kimya kimya.
Hata TEC imewauma jana, nilikuwa nawatazama walivyovimbisha nyuso.
Braza unless umeuona mkataba ulivyoandikwa then bado hapo hujanishawishi. I am an accountant and I know I can manipulate the data and not even the auditor can unmask. Nitaaminije nitakachopewa wakati Sina watu ndani?Mkuu ndio Maana Ya IGA kuwepo kabla ya HGA kuwepo ukijua kazi za hii mikataba miwili utajibu swali lako
Mlamba asali umeshavimbiwa na asali unakuja kuropoka humu[emoji3]Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?
Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.
Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
Itakua hukwenda shule.Hebu nipe hiyo historia mkuu ukiweka na miaka kama itakupendeza mie imentoka kidogo
Naelewa na nimeshaeleza post za nyuma Na Nikushauri wewe usome na uelewe zaidi Tofauti ya IGA na HGA na ioi inanguvu kuliko nyingine..Jifunze uelewe,
Hakuna mkataba uliobadilishwa, ile IGA ni makubaliano na bado yapo yamesimama, hii sasa ndio mikataba mahususi ambayo serikali ilikuwa inasema itaingia ambayo itaspecify kila kitu, ila kwa ujinga wetu hatukutaka kuelewa na ndo mana kina mwabukusi, TEC, CHADEMA wakapinga sanaaaa,
Nakumbuka kuna siku Zito alisema IGA ni karatasi tu la kufungia vitumbua ila mikataba inayokuja ndo ya muhimu
Tuna safari ndefu saa ya kwenda, lakini naamini hizo ni heri kubwa. Uislam ndiyo unapata kujulikana uzuri wake.Nimeona hilo na kuna watu humu wamesema wazi wazi kabisa kuwa Tatzo ni uislamu...
Kwakweli tuna safari ndefu ya kufika tuendako maana kama hawa ndo vijaana wa nchi hii basi kazi ipo....
Ukweli mchungu ni kwamba mapendekezo yote ya TEC yamefanyiwa kazi, wewe bibi na waislam wenzio mliousifia na kusema hauna kasoro yoyote kisa wawekezaji ni waislam jana mmevuliwa nguo na mwislam mwenzenu mama Samia. Polen sana, TEC 3- Faiza 0. Hii imeenda, kula chuma hiko bibiTatizo siyo Waarabu, tatizo Waislam. Ingekuwa huyo Mwarabu anaitwa George Elias, wala usingesikia malalamiko, ungeona anasifiwa.
Hii nchi wajinga ni wengi.
Mama samia ni kichwa, unafikiri hata TEC, nia na madhumuni ilikuwa ni uchokozi tu wa wazi, kwani walishindwa kuongea na serikali kimya kimya.
Hata TEC imewauma jana, nilikuwa nawatazama walivyovimbisha nyuso.
Uwongo bwana,lengo lako ni kuliondolea aibu tec,unazunguka unadhani tu wajinga,toka mwanzo ilisemwa muda wa mkataba utatajwa kwenye hga,unataka kusema iga ilisema hawatolipa kodi?!..mnahangaika sana akina roma locutaHapana hilo nakataa Walivyoona vina mushkeli vyote vimerekebishwa ulitaka wafanye nini waendelee kuilaumu serikali kwa kurekebisha?
I know sasa Mkataba wa IGA ni kati ya Nchi na nchi nchi Na mkataba wa HGA ni kati nchi mwanachama wa IGA na host Government ambayo inafanyiwa Tukio..Braza unless umeuona mkataba ulivyoandikwa then bado hapo hujanishawishi. I am an accountant and I know I can manipulate the data and not even the auditor can unmask. Nitaaminije nitakachopewa wakati Sina watu ndani?
Inama nikusweke Mimi sio Mkristo wala si chochote nachosemq ni kilichotokeaUwongo bwana,lengo lako ni kuliondolea aibu tec,unazunguka unadhani tu wajinga,toka mwanzo ilisemwa muda wa mkataba utatajwa kwenye hga,unataka kusema iga ilisema hawatolipa kodi?!..mnahangaika sana akina roma locuta
Hili ndiyo lengo la uzi wako,kulitakasa kanisaHapana hilo nakataa Walivyoona vina mushkeli vyote vimerekebishwa ulitaka wafanye nini waendelee kuilaumu serikali kwa kurekebisha?
Mi siyo mtoto,na si mara ya kwanza kukuona humuInama nikusweke Mimi sio Mkristo wala si chochote nachosemq ni kilichotokea
Hahaha sikwenda mkuu niliishia darasa la pili ila nilikataa historia ya uongo ya kupandikizwa chuki hivyo nikapata historia yenye facts na ukweli wenye ushawishi..Itakua hukwenda shule.
Ok sawa Bhasi nivishe ukristo ikiwezekana nipe kabisa na kitengo cha upadre nisimamieMi siyo mtoto,na si mara ya kwanza kukuona humu
Unaweza ukanionesha mahali nilisema mimi ni mkristoHili ndiyo lengo la uzi wako,kulitakasa kanisa
Si upo kitengo cha mawasiliano kwa ummaOk sawa Bhasi nivishe ukristo ikiwezekana nipe kabisa na kitengo cha upadre nisimamie
Weed endeleza mboyoyoUnaweza ukanionesha mahali nilisema mimi ni mkristo