Sasa rukhsa Meli kubeba chakula kutoka bandari za Ukraine zilizotekwa

Sasa rukhsa Meli kubeba chakula kutoka bandari za Ukraine zilizotekwa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Urusi imesema kuanzia sasa meli zitakazopenda kwenda na kuondoka bandari za bahari nyeusi zilizokuwa za Ukraine ni ruhusa kufanya hivyo na zitapatiwa kila aina ya ulinzi ili zibaki salama.

Hayo yamesemwa na wizara ya ulinzi ya Urusi wakati ikiwa imefanikiwa kuzishika bandari hizo muhimu kwa usafirishaji wa chakula duniani.

Kauli hiyo imekuja huku raisi Putin wa Urusi akiwa ametia saini tamko la kurahisisha mwananchi yeyote wa Ukraine katika majimbo iliyoyateka kuomba na kupatiwa uraia wa jamhuri ya Urusi.
 
putin siku zake zinaesabika
vile wayukreni wa buza mnavyohesabu siku za putin.
giphy.gif
 
Siyo kodi tu ye ndio anauza hizo nafaka tena kwa mataifa ambayo sio adui kwa Urusi, kwa NATO kibano kipo palepale!!
Misri walipelekewa meli moja ya ngano wakadai makaratasi ya mzigo.Haijulikani kama waliicha ikarudi Urusi au walichukua bidhaa.Sasa itakuwa rahisi kupewa mzigo na makaratasi yote wanayotaka
 
Back
Top Bottom