SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Sababu ya kutekwa ni aliwatetea wafanya Biashara wa kariakoo ule mwezi wa Saba walipogoma kufungua maduka.

Ile ishu alitetea sana huko x na alikuwa against serikali.

Akatekwa kwa kuonekana analeta ujuaji. Wakampeleka Huko walikompeleka ili wamuue,ila Mungu hakupenda,Leo huyu hapa anawaadhibu watesi wake kwa njia ya maneno makali mnaita matusi ya nguoni.
 
Sativa jana kamtukana vibaya sana IGP kiasi kwamba hata baadhi ya supporters wake walishtuka. Mbowe na CHADEMA kwa ujumla watatafunwa na dhambi ya kuwaharibia maisha watoto wa maskini kama Sativa na Mdude. Huwezi sikia mtoto wa Mbowe, Lema, Kigaila na vigogo wengine wa CHADEMA wakitoa kauli chafu kwa mtu hasa serikali. Wamelelewa kwa adabu ya hali ya juu. Ila viongozi wa CHADEMA huhamasisha watoto wa maskini kupambana na dola kitu ambacho ni hatari.
 
Bc ukang'oe jino halafu tuseme umeng'olewa kichwa kwa sababu jino lipo kichwani.
Jino ni sehemu ya kichwa hakuna mahali utapang'oa na utasema umeong'oa kichwa kwa sababu ili sehemu iitwe kichwa ni mjumuisho wa vyote vilivyopo juu ya shingo yako😂😂😂
 
Mkuu muache ateme nyongo, Mwashambwa hujui maumivu ya kufumuliwa mdomo kwa risasi!!!
 
Perhaps he's in a state of a DEAD MAN WALKING..........
Which it might describe someone who is emotionally detached or going through the motions in life, feeling lifeless or without purpose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…