SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Daah nimesoma tusi moja tu nimekimbia aisee wahuni sio watu daah...wacha niendelee kutojua katukana nini ila kwa mtu yeyote alietekwa harafu akapona salama kimakosa huyo mtu atatukana bila hata kujua nani anamtukana..
 
Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Ungejitahidi kwanza kulaani kitendo cha kutekwa kwake na hata kumuombea kifo anayejaribu kutoa uhai wa wengine .Halafu kwa pamoja tumkemee kijana
 
Ungejitahidi kwanza kulaani kitendo cha kutekwa kwake na hata kumuombea kifo anayejaribu kutoa uhai wa wengine .Halafu kwa pamoja tumkemee kijana
Mimi namkemea vikali sana huyu kijana sativa kwa mwenendo wake mbovu na usiokubalika kwa jamii wa kuporomosha matusi ya nguoni na lugha chafu.
 
Mkuu unafikiri risasi ipenye nyuma ya kichwa itokee mbele ya mdomo ni jambo dogo ? Hata kama kachanganyikiwa walio mfanyanyia lile tukio nao wanahusika kwenye kuchanganyikiwa kwake🤔
Alikuwa na kauli tata hata kabla ya kupigwa risasi.
 


Hivi aliyemteka amepatikana?

Kuna wakati mtu akikata tamaa na ukosefu wa haki.....anajua ni suala la muda tu, atakuna na mambo magumu zaidi.
 
Nipo X muda mrefu,yule hana adabu........alichofanyiwa si kitu kizuri ila anavuka mipaka na sifa zitamponza,asidhani Kenya ni mbali sana kuna siku watamuuza anasahau kuwa huku ni Africa
 
Punda wewe..ambia wanao hayo maneno sababu unawalisha! achana na mambo ya watu..when the day comes God takes care not you! endelea kula hayo makombo unayotupiwa na hao unawatetea, no one will remain in this world!
Nyumbu huwa wanamshangaa mwenzao akitafunwa na Simba, na haijulikani hua wanajiskia huruma au vinginevyo.

Epuka tabia ya nyumbu, mihemko na ghadhabu hazijawahi kumsaidia nyumbu.

kuwa mstaarabu, kua na nidhamu kwa wate.

Mungu ni wa wote wamchao. Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa.🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…