Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Matusi hayakubaliki na wala mtu hawezi kuvumiliwa au kuachwa aendelee kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu.ni lazima adhibitiwe na kufikishwa katika vyombo vyo sheria .ni lazima afundwe kisheria.Sasa kama matusi sio silaha hii mada umeileta hapa ya nini?
Au akili yako haielewi unachokijadili?
Maneno ni silaha. Matusi ni Maneno yenye sum. Ni silaha yenye sumu ndio maana umeandika hii mada.
Kumbe hujui hata ulichoandika
Sijui shuleni huwa mnaenda kusomea ujingaGentleman,
ni ushauri na mawaidha ya bure kabisa kwa muungwana, asitegemee wala kupumbazwa huruma za wananchi na wafadhili wake uchwara wa kitanzania waliopsnga huko kibra kenya mabatini kuna joto kichizi π€£
kuporomosha matusi sio ujasiri hasa kwa watu wa vitendo tu π
Wewe ni mwendawazimu kweli, hao wanaoshindwa kusimamia weledi kwa taifa zima hadi matukio ya kutekana yanaonekana kawaida tu na hawana habari mbona huwasemei?Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Matusi yanamsaidia vipi kupata haki anayoona hajapewa au kutendewa? Ni vipi matusi yakawa utetezi?ni vipi matusi yakakupa msaada wa njia ya kufikia ushindi wa kupata haki? Ni wapi na nani aliwa kupata ushindi kwakuporomosha matusi ya nguoni. Wewe unaweza kutukana matusi atukanayo SATIVA na ukawapa na wazazi wako waone na kusoma? Ndivyo unavyoweza kuwafundisha wanao kuwa wawe wanatukana sana matusi katika kupigania haki zao au kufikisha ujumbe fulani?Ndivyo unavyoweza kuwapa ushauri huo watu na jamii iwe ya kutukanana matusi katika kupigania haki?
Ungeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja
Endelea kumjaza ujinga wako juu ya ujinga wakeHuna ujualo kwenye mambo ya kutetea HAKI kwa sababu wewe sio mtu wa HAKI.
Kwenye vita za Ubaguzi wa rangi yapo matusi yalitumika kama silaha ikiwemo UKABURU.
Kwenye vita ya Uganda na Tanzania. Idi amini aliitwa Nduli.
Unaandika mambo usiyoyaelewa
Sawa sawa mpambanaji wa keyboard, endelea kumpa sapoti kwa njia ya online ila lolote lifakalomkuta litampata physical na sio online Tena.
Nimemaliza.
Matusi hayakubaliki na wala mtu hawezi kuvumiliwa au kuachwa aendelee kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu.ni lazima adhibitiwe na kufikishwa katika vyombo vyo sheria .ni lazima afundwe kisheria.
ATAINGIA KWENYE 18 TU MUDA SI M,MREFU NI SUALA LA MUDA TU AMUULIZE MDUDE SASAHIVI ANAYEA NDOO NA HACHOMOKI KIRAHISI SAFARI HIINdugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
gentleman,Sijui shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga
Yaani Kuna wak Watati unaandika vitu mpaka wewe mwenyewe unaona aibu .
Tumia Elimu yako kuwakomboa Watanzania ,Uchawa ni utumwa wa fikira
Endelea kumjaza ujinga wako juu ya ujinga wake
Wewe unataka afanye nini ili aipate haki yake ikiwa vyombo vya kisheria vimekaa kimya?Matusi yanamsaidia vipi kupata haki anayoona hajapewa au kutendewa? Ni vipi matusi yakawa utetezi?ni vipi matusi yakakupa msaada wa njia ya kufikia ushindi wa kupata haki? Ni wapi na nani aliwa kupata ushindi kwakuporomosha matusi ya nguoni. Wewe unaweza kutukana matusi atukanayo SATIVA na ukawapa na wazazi wako waone na kusoma? Ndivyo unavyoweza kuwafundisha wanao kuwa wawe wanatukana sana matusi katika kupigania haki zao au kufikisha ujumbe fulani?Ndivyo unavyoweza kuwapa ushauri huo watu na jamii iwe ya kutukanana matusi katika kupigania haki?
Luca hawezi kukupatia jibu.....anasahau huyu Bwana alitekwa na kupigwa risasi. π πAlipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
ANALIWA TIMING TU ATANASA TU NI SUALAL LA MUDA TU MTAMSKIA ANALILIA MAHABUSU MPAKA AKOME ATAHENYA MWAKA HUULakini kutekwa na kutupwa kama panya Buku ndio kunakubalika.
Nakuambia siku zote utakuwa Liability tuu maisha yako yote.
Hata hao polisi unaowashauri wanakushangaa maana wanajua alichofanyiwa Sativa hakikuwa sahihi.
Sasa unataka Sativa aimbe mapambio kama wewe hapa
Mm sio mgeni kwa nyie wabongo, online mnajikuta mwamba knoma ila front hamuonekani πNawe mpambanaji wa Keyboard, endelea kusapoti wanaodhulumu, kuonea wanyonge kwa njia ya online. Wewe hutopatwa na lolote.
ANALIWA TIMING TU ATANASA TU NI SUALAL LA MUDA TU MTAMSKIA ANALILIA MAHABUSU MPAKA AKOME ATAHENYA MWAKA HUU