SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Bro, naomba hii comment iwe ya mwisho kwako mana naona hatuelewani.

Mm nampinga yeye kutumia matusi kupata haki yake na sio kwamba nasapoti alichofanyiwa.
Em angalia hiyo screenshot hapo juu.

Uwe na siku njema mkuu.

Pendekeza atumie njia gani?

Pendekeza Hammas watumie njia ipi zaidi ya ugaidi kukabiliana na Israel ambayo inanguvu kwa kila kitu?
 
Huyo Mungu ni danganya toto kwanza hauwezi thibitisha uwepo wake .


Kuporomosha matusi pande zote tu, huwa mnafanya hivyo hasa hasa kwa wale wanaoona ugali wao unaguswa kwa upande wenu gentleman 🐒
Isingekua Mungu nisingekua hivi nilivyo sasa gentleman, ni nina hakika na kila mpango wangu dhidi ya chochote kufanikiwa..

rejea simulizi yangu ya kugombea ubunge mara ya kwanza nikiwa na laki5 cash. Unadhani ningeenda kuporomosha matusi kwa wananchi kama wengine wanavyofanya leo nigekua kitu kweli?

we ng'ang'ana na ushirikiana wako tu, utajikuta kila wakati mihemko, makasiriko, ghadhab na kuporomosha matusi ndiyo ndugu zako, walio na Mungu ndani yao wanapeta tu na maisha 🤣
 
Watu wengi tunamuunga mkono Sativa katika bifu lake na polisi. Lakini amekosa busara kabisa. Ni kama mtu ambaye si mzima kichwani.
Mkuu unafikiri risasi ipenye nyuma ya kichwa itokee mbele ya mdomo ni jambo dogo ? Hata kama kachanganyikiwa walio mfanyanyia lile tukio nao wanahusika kwenye kuchanganyikiwa kwake🤔
 
Isingekua Mungu nisingekua hivi nilivyo sasa gentleman, ni nina hakika na kila mpango wangu dhidi ya chochote kufanikiwa..

rejea simulizi yangu ya kugombea ubunge mara ya kwanza nikiwa na laki5 cash. Unadhani ningeenda kuporomosha matusi kwa wananchi kama wengine wanavyofanya leo nigekua kitu kweli?

we ng'ang'ana na ushirikiana wako tu, utajikuta kila wakati mihemko, makasiriko, ghadhab na kuporomosha matusi ndiyo ndugu zako, walio na Mungu ndani yao wanapeta tu na maisha 🤣
😂😂Mwaka gani uligombea ubunge ukapigiwa kura na wananchi dhidi ya mpinzani wako ? Kwa sababu wabunge wasasa hakuna asie jua walipita bila kupigwa gentleman 🐒
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kile kiwango cha ukatili alioa yiwa ulikiona?
 
😂😂Mwaka gani uligombea ubunge ukapigiwa kura na wananchi dhidi ya mpinzani wako ? Kwa sababu wabunge wasasa hakuna asie jua walipita bila kupigwa gentleman 🐒
Gentleman,
miaka yote ya uchaguzi nchini, wananchi wa vyama vyote vya siasa nchini, hunipigia kura na kunipatia ushindi wa kishindo, na sina shaka yoyote,

2025, nikiwa sambamba na Dr.Samia Suluhu Hassan kupitia CCM, wananchi wa Jimbo langu katika umoja wao, na kwa Neema na Baraka za Mungu, watatuchagua kwa kishindo kikuu ili tupate fursa ya kuwafanyia kazi ya Maendeleo kijamii, kiuchumi, kisiasa, Kitaifa na kimataifa 🐒
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lazima uwe na uelewa kuwa huyo kijana SATIVA ameathirika kisaikolojia baada ya kuteswa na kutupwa porini ili aliwe na fisi.
Kitu kinachoweza kufanyika ni kumpeleka hospitali achunguzwe afya ya akili.
Siyo kila kitu polisi wanaweza kufanya.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpuuzi mkubwa wewe, unajiona wewe ni nani wa kuwaambia polisi nini cha kufanya?
 
Back
Top Bottom