Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Watu wengi tunamuunga mkono Sativa katika bifu lake na polisi. Lakini amekosa busara kabisa. Ni kama mtu ambaye si mzima kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro, naomba hii comment iwe ya mwisho kwako mana naona hatuelewani.
Mm nampinga yeye kutumia matusi kupata haki yake na sio kwamba nasapoti alichofanyiwa.
Em angalia hiyo screenshot hapo juu.
Uwe na siku njema mkuu.
Jarada lilikwisha fungwa, kilichobaki ni yeye kutupa mawe gizani, sisi waafrika ni makatiri sana.Akitukana ndio atasaidiwa?
Isingekua Mungu nisingekua hivi nilivyo sasa gentleman, ni nina hakika na kila mpango wangu dhidi ya chochote kufanikiwa..Huyo Mungu ni danganya toto kwanza hauwezi thibitisha uwepo wake .
Kuporomosha matusi pande zote tu, huwa mnafanya hivyo hasa hasa kwa wale wanaoona ugali wao unaguswa kwa upande wenu gentleman 🐒
Sativa hawatukani watu, anawatukana wanyama waliomtendea unyama.Embu kawatukane wazazi wako matusi ambayo huyo jamaa anatukana watu mitandaoni
Mkuu unafikiri risasi ipenye nyuma ya kichwa itokee mbele ya mdomo ni jambo dogo ? Hata kama kachanganyikiwa walio mfanyanyia lile tukio nao wanahusika kwenye kuchanganyikiwa kwake🤔Watu wengi tunamuunga mkono Sativa katika bifu lake na polisi. Lakini amekosa busara kabisa. Ni kama mtu ambaye si mzima kichwani.
Sio wore tunamjua ni vizuri ukatujuza Hugo kijana ni nani?na hayo matusi katakana mtandao gani na na anatumia jina gani kwenye huo mtandaoNinyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
😂😂Mwaka gani uligombea ubunge ukapigiwa kura na wananchi dhidi ya mpinzani wako ? Kwa sababu wabunge wasasa hakuna asie jua walipita bila kupigwa gentleman 🐒Isingekua Mungu nisingekua hivi nilivyo sasa gentleman, ni nina hakika na kila mpango wangu dhidi ya chochote kufanikiwa..
rejea simulizi yangu ya kugombea ubunge mara ya kwanza nikiwa na laki5 cash. Unadhani ningeenda kuporomosha matusi kwa wananchi kama wengine wanavyofanya leo nigekua kitu kweli?
we ng'ang'ana na ushirikiana wako tu, utajikuta kila wakati mihemko, makasiriko, ghadhab na kuporomosha matusi ndiyo ndugu zako, walio na Mungu ndani yao wanapeta tu na maisha 🤣
Utukanaji wa matusi na kutoa lugha chafu zisizo kubalika katika jamii ya aina yoyote ile hapa chini ya Jua.
Kile kiwango cha ukatili alioa yiwa ulikiona?Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mungu hatumii Mafwele na kina Swai.walio na Mungu ndani yao wanapeta tu na maisha
Amekuambia anataka kusaidiwa?Akitukana ndio atasaidiwa?
Gentleman,😂😂Mwaka gani uligombea ubunge ukapigiwa kura na wananchi dhidi ya mpinzani wako ? Kwa sababu wabunge wasasa hakuna asie jua walipita bila kupigwa gentleman 🐒
kwa faida ya wadau,elezea vizuri huo ushirikiana wako gentleman 🐒Mungu hatumii Mafwele na kina Swai.
Lazima uwe na uelewa kuwa huyo kijana SATIVA ameathirika kisaikolojia baada ya kuteswa na kutupwa porini ili aliwe na fisi.Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jibu swali uliloulizwa.Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Embu kawatukane wazazi wako matusi ambayo huyo jamaa anatukana watu mitandaoni
Mpuuzi mkubwa wewe, unajiona wewe ni nani wa kuwaambia polisi nini cha kufanya?Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sorry Braza najua hizi ni hasira za Mganga aliekuuza ukagombee kwa hiyo laki tano.kwa faida ya wadau,elezea vizuri huo ushirikiana wako gentleman 🐒