SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Hata kabla hajatekwa alikuwa anaitukana serikali ila kwa sasa ndo amezidisha, fuatilia utajua.
 
Mna bahati sana huko majimboni mnaongoza watu mnaowamudu gentleman 🐒
sio bahati gentleman, ni Neema na Baraka za Mungu tu, ukisema neno moja tu na roho za wananchi zinatulia, zinapona, nanakuamini na kukufuata wewe tu...

kwa kuporomosha matusi nani atakuelewa gentleman? Hata Baraka zinakaa mbali nawe 🐒
 
nchi yetu matus n luksa ila si luksa kuikosoa selikali.. wacha atukane tu mana kam upo mahali ambapo huwez kupata haki yako kila mtu huwa na namna flani akifanya anapunguz machungu moyn mwake..
 
Wewe BWABWAH
 
Sijasoma uzi wako ila nimesoma heading tu nikaelewa.
Nikuulize tu mleta mada hivi siku ukitekwa wewe au mwanao akapitia aliyoyapitia huyo bwana mdogo Sativa utakuja hapa kuandika hiki ulichoandika?!
Matukio haya yana matokeo mabaya sana huko mbeleni maana hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kufurahia mwanaye apotezwe au kuachwa na kilema cha maisha halafu unataka asifu na kuabudu!
Dogo alieleza kila kitu lakini ameishia kupuuzwa kama mwendawazimu!
Haya angalia tukio la mzee Kibao Unaambiwa muuaji hajulikani na hili tukio la juzi mpaka clipp na picha na sura za wahusika zimeonekana kabisa lakini mpaka leo ishu imepita kimya kimya
Watu wana maumivu wanaogopa kusema ukweli kwa kuhofia yatawakuta lakini ipo siku roho ya kinyama itawavaa wananchi wengi na kitakachotokea ni balaa
 
sio bahati gentleman, ni Neema na Baraka za Mungu tu, ukisema neno moja tu na roho za wananchi zinatulia, zinapona, nanakuamini na kukufuata wewe tu...

kwa kuporomosha matusi nani atakuelewa gentleman? Hata Baraka zinakaa mbali nawe 🐒
Huyo Mungu ni danganya toto kwanza hauwezi thibitisha uwepo wake .


Kuporomosha matusi pande zote tu, huwa mnafanya hivyo, hasa hasa kwa wale wanaoona ugali wao unaguswa kwa upande wenu gentleman 🐒
 
Ona tusi hili kww IGP Camillius Wambura:-
 
Hakuna watu wanatukana kama majeshini...huku sio ualimu wako wewe chawa wa kijani..kiufupi lugha anayotumia Sativa ndio Lugha wanayoelewa PT wale ni mashetani kamili...
 
Kitendo cha kumzuia mtu anayeona njia anayoitumia kutetea HAKI zake na kujiponya nafasi yake ni kuonyesha unasapoti waliomfanyia ubaya huo.

Ni kama watu wanaolaumu Hammas dhidi ya wayahudi

Iko hivyo logically
Bro, naomba hii comment iwe ya mwisho kwako mana naona hatuelewani.

Mm nampinga yeye kutumia matusi kupata haki yake na sio kwamba nasapoti alichofanyiwa.
Em angalia hiyo screenshot hapo juu.

Uwe na siku njema mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…