SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Sativa jana kamtukana vibaya sana IGP kiasi kwamba hata baadhi ya supporters wake walishtuka. Mbowe na CHADEMA kwa ujumla watatafunwa na dhambi ya kuwaharibia maisha watoto wa maskini kama Sativa na Mdude. Huwezi sikia mtoto wa Mbowe, Lema, Kigaila na vigogo wengine wa CHADEMA wakitoa kauli chafu kwa mtu hasa serikali. Wamelelewa kwa adabu ya hali ya juu. Ila viongozi wa CHADEMA huhamasisha watoto wa maskini kupambana na dola kitu ambacho ni hatari.
..km mtu hapendi kusemwa au kutukanwa juu ya yale anatendea watu akiwa kwenye nafasi ya umma, jibu analo yeye mwenyewe..ondoka kwenye hiyo nafasi! hutasikia mtu anakuongelea tena!aliyetekwa si mtoto wa mbowe, alitekwa sativa..na km wewe una uhakika viongozi wa chadema wanahamasisha watu kupambana na dola, why don't you deal with them direct?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tukana basi hayo matusi tuone kama kweli hayapaswi kutamkwa hadharani.
 
Unaongea maneno Kama Masheikh wa kuchonga...Porojo nyingi kuhusu Mungu na mwili umejaa chale.
Hakuna kitu cha maana kama Neema na Baraka za Mungu kujaa ndani ya mwili na roho ya mwanadamu..

hubabishwi na kumbwelambwela na yoyote bana, ni fulu uhakika na kila mpango mwema mbele yako, ushirikiana ni vichekesho tu kwako 🤣
 
Lucas leo nikuambie kitu muhimu pengine hukifahamu, tuko hapa duniani si kwa ajili ya pesa, pesa haiwezi kukupa kila kitu..kitu muhimu kwa maisha ya binadamu ni DESTINY wewe uko hapa duniani kupitia wazazi wako, na wewe utakuwa mzazi pia Mungu ametuumba hivyo..kamwe usiwe chanzo cha matatizo kwa generation yako kwa sababu ya matendo unayofanya sasa..wewe umekuwa mtetezi wa watu hata km ni viongozi waache wajitetee wenyewe..wewe huwezi kujua mioyoni mwao hao unaowatetea wanawaza nini, maneno unayosema mengi ni ya upotoshaji hayawezi kupotea..km si ya baraka ipo siku yatakurudia wewe au generation yako! uwe mwangalifu..usichukulie rahisi rahisi, FIKIRI kabla ya kusema..ningekuelewa unapomuongelea sativa juu ya matamshi yake km ungeeleza pia kinachomfanya atamke maneno hayo..mbona hakuwa hivyo miaka ya nyuma?? sativa alinusurika kifo, lakini ametaja watu waliomfanyia hivyo...je, wamehojiwa?? acha kuchukuliwa hatua.. lakini pia mtu anapokuwa na dhamana kwenye ofisi ya umma, lazima atambue lolote analofanya km halipendezi lazima litakosolewa na kushutumiwa na huwezi kupangia watu maneno ya kusema..km hutaki usemwe ondoka kwenye hiyo nafasi uepuke kutukanwa! Usimlaumu sativa, wafundishe wanaotukanwa wawe wavumilivu, lakini watende MEMA ili wasitukanwe!
Moja ya maneno ambayo kama Lucas akiamua kuyashika atafanyikiwa ikiwa atayaacha hapa hapa basi atajutia sana baadae kama sio yeye ni mtoto wake au kizazi chake
 
Ingawa siungi mkono matusi, lakini mbona hukosoi watesi wa Sativa, yaani watekaji na wauaji, na husemi polisi wadhibiti hao wahalifu?

Au huyo mungu wako anaruhusu kuteka na kuua watu?!

Hivi kati ya matusi au kuteka/mauaji ni kipi kina madhara zaidi?
Huyo kunguni wa mama hayo yote anao muda wa kufikiria sasa?

Yani maajabu tu, huyo Edgar katekwa mwezi wa 6 kapatikana mbugani ambapo kuna checkpoint kuingia na kutoka ajabu waliomteka bado hawajajulikana na aliingia mle akiwa katika gari la watekaji.

Sasa leo huyu darasa la 7 anaamrisha division 4 tena wakamteke huyo mtu, hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali Edgar sio tishio kwa usalama wa nchi waanze kudeal na wale wezi wanaoibia nchi mabilioni.
 
We ni mwendawazimu, tunalipa kodi matokeo yake zinatafunwa na wachache matumizi makubwa na ya anasa, huwezi kujadili sababu unalaana ya milele unawaza uteuzi ili uibe mali za umma upate utajiri wa haraka. Shame on you wewe shetani
Kodi zetu zinatumika vizuri sana.ndio maana unaona serikali ikitoa elimu bure kuanzia awali hadi kidato cha sita.imeongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi kutoka Billion 250,ujenzi wa Bwawa la mwalimu Nyerere ambalo lipo tayari kwa kila kitu,ujenzi wa SGR,ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya 300,ujenzi wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 21,ujenzi wa miundombinu ya barabara kufikia km zaidi ya 91 elfu,vijiji zaidi ya elfu 11 kati ya vijiji elfu 12 vimeunganishwa kwa umeme. Ajira zimetolewa kwa vijana maelfu kwa maelfu. Na mengine mengi.hayo ni kwa uchache tu maana nikikupa mengi najua ukachaganyikiwa kulingana na akili yako ndogo navyoifahamu.
 
Huyo kunguni wa mama hayo yote anao muda wa kufikiria sasa?

Yani maajabu tu, huyo Edgar katekwa mwezi wa 6 kapatikana mbugani ambapo kuna checkpoint kuingia na kutoka ajabu waliomteka bado hawajjulikana na aliingia mle akiwa katika gari la watekaji.

Sasa leo huyu darasa la 7 anaamrisha division 4 tena wakamteke huyo mtu, hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali Edgar sio tishio kwa usalama wa nchi waanze kudeal na wale wezi wanaoibia nchi mabilioni.
Mwambieni aache kutukana matusi.maana hayatamfikisha mahali popote pale wala matusi siyo ushujaa
 
..bora ukae kimya, na kama ni huruma waonee huruma unaosema watamjibu kwa vitendo, sababu nao ipo siku yatakayowapata ni gharama ya waliyofanyia watu..ukiruhusu akili yako itoke nje ya unacholishwa utaifahamu dunia ilivyo..sadam hussein kutoka hali ya kulindwa na majeshi yenye dhana zote unazozijua na usizozijua, hatima yake ni kuokotwa kwenye mtaro ambako hata muda wa kunyoa ndevu na kunawa uso hakuwa nao! elewa kijana..don't be fool with petty cash they r giving you! wahurumie wao uwaambie ukweli..dunia si yetu sote, km wako tayari kwa lolote, hata sativa yuko tayari kwa lolote! t s 0-0....
Gentleman,
hakuna cha ubora wala kukaa kimya hasa pale ambapo ukweli unahitajika sana dhidi ya mihemko.

Namuhurumia sana mtukanaji na mporomosha matusi kwa maneno dhidi ya mujibu matusi kwa vitendo, aise ni hatari sana na ni kujiangamiza kizembe sana 🤭


hayo mengineyo ni porojo na story za pata potea za kupoteza muda tu gentleman 🐒
 
Pale ambapo dhuluma au udhalimu unapokuwa mkubwa, haki kukosekana au uonevu unapovuka mipaka, basi wale Watu wanaodhulumiwa huwa wanajihisi kwamba hawana cha kupoteza na hatimaye huamua kujitoa mhanga ili kupinga dhuluma wanazofanyiwa. Inapofikia hatua hii, Basi hakuna tena mtu katika jamii husika ambaye yuko salama, hatari inakuwa ipo kwa Watu wote na mahali popote pale.

Njia pekee kabisa ya kuepuka hatari kama hiyo ni kutenda haki.
Taifa letu linaendeshwa kwa kufuata na kuzingatia misingi ya sheria na Utawala bora.kama kuna mtu anaona hajatendewa haki mahali fulani.anayo nafasi ya kukusanya ushahidi na kwenda mahakamani.matusi ya nguoni hayakubaliki na hayawezi kuvumilika katika jamii iliyostaarabika
 
Sativa jana kamtukana vibaya sana IGP kiasi kwamba hata baadhi ya supporters wake walishtuka. Mbowe na CHADEMA kwa ujumla watatafunwa na dhambi ya kuwaharibia maisha watoto wa maskini kama Sativa na Mdude. Huwezi sikia mtoto wa Mbowe, Lema, Kigaila na vigogo wengine wa CHADEMA wakitoa kauli chafu kwa mtu hasa serikali. Wamelelewa kwa adabu ya hali ya juu. Ila viongozi wa CHADEMA huhamasisha watoto wa maskini kupambana na dola kitu ambacho ni hatari.
Matusi aliyotumia jana kumtukana IGP hayakubaliki wala kuvumilika hata kidogo.ni ukiukwaji na uvunjifu mkubwa sana wa sheria na maadili yetu na kwa jamii yoyote ile iliyostaarabika haiwezi kukubali matusi ambayo anatukana huyu jamaa.ambaye mimi nahisi anamatatizo kichwani mwake yanayohitaji matibabu ya dharura.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mdude ameshadhibitiwa na haka kafuate Ili wakakatunze mahala salama
 
Sababu ya kutekwa ni aliwatetea wafanya Biashara wa kariakoo ule mwezi wa Saba walipogoma kufungua maduka.

Ile ishu alitetea sana huko x na alikuwa against serikali.

Akatekwa kwa kuonekana analeta ujuaji. Wakampeleka Huko walikompeleka ili wamuue,ila Mungu hakupenda,Leo huyu hapa anawaadhibu watesi wake kwa njia ya maneno makali mnaita matusi ya nguoni.
Tangia lini wafanyabiashara wanatetewa na watu wasiojitambua ilihali wana viongozi wao na jumuiya zao.
 
Perhaps he's in a state of a DEAD MAN WALKING..........
Which it might describe someone who is emotionally detached or going through the motions in life, feeling lifeless or without purpose.
atasaidiwa kwa kupewa matibabu ya kisaikolojia akishakuwa amekamatwa na daktari kuthibitisha kuwa anamatatizo kichwani mwake.
 
Mwambieni aache kutukana matusi.maana hayatamfikisha mahali popote pale wala matusi siyo ushujaa
Mimi siungi mkono matusi.

Ila matusi yamekuja kutokana na tukio alilofanyiwa je waliomfanyia hilo tukio wamekamatwa?

Imepita miezi 5 sasa waliomfanyia hilo tukio hawajakamatwa na polisi wapo kimya kwanini usipaze sauti hao watu watafutwe na kukamatwa kwanza?
 
Back
Top Bottom