Sativa alipia matangazo Instagram kuanika uchafu wa Jeshi la Polisi

Wangetaka kumuua wasingeshindwa😔
 
Kwa nchi zetu za kiafrika ni kujitafutia matatizo
 
Dogo kapoteza uelekeo huwezi kushindana na watu wazima Muliro jana kamprovoke dogo kama mzazi na dogo kaingia upepo vibaya mno
Wazazi jitahidini kukaa na vijana wenu muwafundishe ukakamavu namna ya kusema na kujibu watu wazima
....watu wazima wanaoteka watu......
 
Huyu dogo maandiko yake mengi hayana mashiko kama mwanaharati. Ana utoto/usela nondo fulani hivi. Hauwezi kucheza na Dola kama Hauna nidhamu na hekima ya hari ya juu.
 
Najua anaumia kwa yale waliyomfanyia, ila mie ningemshauri apotezee tu, watanzania wenyewe tunaopambaniwa ni zaidi mgonjwa wa nusu kaputi, sisi na maiti tofauti yetu ni mwendo tu, watanzania sisi ni maiti zinazoJONGEA.
 
Najua anaumia kwa yale waliyomfanyia, ila mie ningemshauri apotezee tu, watanzania wenyewe tunaopambaniwa ni zaidi mgonjwa wa nusu kaputi, sisi na maiti tofauti yetu ni mwendo tu, watanzania sisi ni maiti zinazoJONGEA.
Apotezee kumbuka anajipigania yeye na sio watanzania
Kirahis rahis tu apotezee nchi tuna mazombi wengi
 
Apotezee kumbuka anajipigania yeye na sio watanzania
Kirahis rahis tu apotezee nchi tuna mazombi wengi
Wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi. Unadhani anaweza shindana na mamlaka katika taifa hili lililojaa wahuni kwenye mamlaka? Ili kulinda hadhi na vyeo vyao wako tayari kumwaga ubongo wa mtu bila kusita..
Ogopa sana mtu anaepambania madaraka na cheo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…