Wangetaka kumuua wasingeshindwa😔Hiyo ndiyo silaha ya mnyonge. Wao wana majeshi na silaha yeye anajitetea kwa kinywa chake. Au unataka pamoja na unyama wote aliotendewa asilie? Akae kimya kwa sababu maneno hayatamfikisha popote? Huyu ni mtu walikuwa wamepanga auawe kwa kumpiga risasi ya kisogo lakini kwa muujiza wa Mungu alipona.
Tunakizazi cha hovyo sanaComments zinaonyesha vile tulivyo wanyonge, dhaifu na waoga.
Mbona walishindwaWangetaka kumuua wasingeshindwa😔
Kwa nchi zetu za kiafrika ni kujitafutia matatizoEdgar Mwakabela maarufu kama Sativa ambaye ni muhanga wa matukio ya utekaji, leo hii amelipia matangazo ya Instagram ili kuanika uhalifu unaofanywa baadhi ya askari wa jeshi la polisi.
Haya ameyaeleza Sativa katika ukurasa wake wa Twitter (X) leo tarehe 06/10/2024, ambapo ametenga bajeti ya Tshs. 135,000/= kwa muda wa siku tano kulipia matangazo hayo.
Ifuatayo ni nukuu kutoka kwenye ukarasa wa X wa Sativa:
MULILO TIME YO SHINE.🔥
Mnalipa CHAWA 20k wanichafue.
Mimi nawalipa INSTAGRAM kuaniaka uchafu wenu.
@tanpol u messed w/ GEN Z.
Budget $50 = 135,000/= TSH.
Duration: siku 5.
@tanpol shindaneni na Technology.😁
Let's Cruise🤝
Mwisho wa kunukuu.
....watu wazima wanaoteka watu......Dogo kapoteza uelekeo huwezi kushindana na watu wazima Muliro jana kamprovoke dogo kama mzazi na dogo kaingia upepo vibaya mno
Wazazi jitahidini kukaa na vijana wenu muwafundishe ukakamavu namna ya kusema na kujibu watu wazima
Watake kumuua mara ngapi??Wangetaka kumuua wasingeshindwa😔
Kama hayafiki popote nenda mtandaoni kaseme maku ya chura kiziwi ina baridi sana.Maneno ya mtandaoni hayata mfikisha popote
Walitaka kumuua?Mbona walishindwa
Ni matatizo gani zaidi anayoyatafuta zaidi ya Yale ambayo tayari wamemsababishia? Jaribu kuvaa uhusika wake huyo Sativa halafu kisha upime kama 'viatu vyake alivyovalishwa wewe vinakutosha.'?Kwa nchi zetu za kiafrika ni kujitafutia matatizo
Wangetaka kumuua wasingehangaika kumpeleka Katavi wakati mapori ya karibuWatake kumuu mara ngapi??
Kwani hao watekaji mwanzoni walivyomteka huyo Sativa lengo lao hasa lilikuwa Nini Kama siyo kumuua??
Upeo wako ni mdogo sio kosa lakoWangetaka kumuua wasingehangaika kumpeleka Katavi wakati mapori ya karibu
Ameanza kutumika vibaya
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."Huyu dogo maandiko yake mengi hayana mashiko kama mwanaharati. Ana utoto/usela nondo fulani hivi. Hauwezi kucheza na Dola kama Hauna nidhamu na hekima ya hari ya juu.
Wewe unatumika vizuri?Ameanza kutumika vibaya
Apotezee kumbuka anajipigania yeye na sio watanzaniaNajua anaumia kwa yale waliyomfanyia, ila mie ningemshauri apotezee tu, watanzania wenyewe tunaopambaniwa ni zaidi mgonjwa wa nusu kaputi, sisi na maiti tofauti yetu ni mwendo tu, watanzania sisi ni maiti zinazoJONGEA.
"It is not enough to avoid injustice if you're not promoting justice" Pope Francis"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."
Rev. Dr. Martin Luther King Jr
Wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi. Unadhani anaweza shindana na mamlaka katika taifa hili lililojaa wahuni kwenye mamlaka? Ili kulinda hadhi na vyeo vyao wako tayari kumwaga ubongo wa mtu bila kusita..Apotezee kumbuka anajipigania yeye na sio watanzania
Kirahis rahis tu apotezee nchi tuna mazombi wengi
Aseme ila sio kutukanaKwa yale aliyopitia unataka akae kimya kweli ebu tuacheni ubinafsi au kwa sababu kile kikombe hujapitia wewe ndo maana unaongea kirahisi