Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Yani wewe uliyepo buza na Tecno yako ya Mchina unajitamba kuwafahamu Wahindi vizuri zaidi kuliko CIA waliojaa tele ndani ya India!
Bado haujawajua wahindi vizuri wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Pole sana.
Hapo marekani anaingizwa cha kike. India inapata benefit nyingi sana kutoka Russia na China kuliko benefits atakazopata kutoka marekani