Sauli: Bilionea ambaye Wazungu/Wageni wanamtambua Waswahili hatujamfahamu kabisa

uwezo wa kufikiri kwa watanzania wengine ?????????. Unamuona mtu yupo mgodini na ana mabasi ya Ulaya say 10, you just conclude kuwa huyo mtu ni tajiri!
Utajiri unaongelewa kwa NAMBA. Nikiwa na maana mngeniambia:
1. net worthy ya Sauli ni kiasi gani,
2. hayo mabasi amenunua cash au ni mkopo na kama ni mkopo upo secured na mali zipi za Sauli?
3. Onyesha basi hata after tax profit ya kampuni za/yake kwa miaka hata 5 ili tuwe na uhakika kwamba huyu bwana ni tajiri.
Nasema hivyo kwa sababu unaweza kuta Sauli hana hata basi moja la kwake, kwamba ile fleet ni ya wapiga deal, wanatakatisha pesa. Wapiga deal kama:
1. Lugola na Ande - proceeds za mgao wa deal lao
2. Chenge na yule jaji aliyekuwa AG - proceeds za mgao wa escrow
3. Bashite Proceeds ya kodi aliyokwepa kwenye makontenna ya samani alizoingiza kutoka Marekani
4. Mzee wa mjengoni aliyelipwa Tshs. 12b/= kwa ajili ya matibabu India nk.
Simdharau au kukakataa kwamba Sauli hawezi kumiliki huo ukwasi, ila nataka uonyeshe ushahidi.
 
Mbona mimi nina pesa hamnitangazi jamani nikapata misifa.
 
I see. Ina maana zile basi za Dar Express, Mtei na Kilimanjaro hukujua kwamba ni Scania? Itakuwa unaishi porini sana 🤣 🤣 🤣 👆 👆
 
Basi inawezekana watu walionipa hiyo story walichanganya.

 
Mkuu umeelezea vizuri...endelea kutupa michapo.




 
Nakazia kwenye dhahabu pesa zao ndogo tu,wanaishia kujenga vilodge vidogo.
Pesa iko kwenye gemstone tu
 
hahahahahahahahahahaha.....Lita kufa jitu.
 
na km 75 ni sawa na kutoka mby to chny

wenzako walikua wabishi kam,a wewe likawekwa dau mezani
Ngoja tudanganyane kwa hisabati basi ndugu mleta hoja, ndipo tuaminishane ama tupotoshane.
Dakika 6 (alizotumia Sauli kuendesha pikipiki kilometa 75) ni sawa na sekunde 360.
Nikichukua sekunde 360, nikagawa kwa 75 (km) napata 4.8, ina maana kila baada ya sekunde 5 jamaa anakata kilometa moja, hii kwa kutumia pikipiki HAIWEZEKANI kwa njia ya Chunya. The same way, ukichukua kilometa 75 ukagawa kwa dakika 6 alizotumia (75/6=12.4). Ina maana Sauli anaendesha kilometa 12.5 kwa dakika moja, kitu ambacho SIO kweli. Huwezi kuendesha pikipiki kwa barabara ya Chunya kwa mwendo huo. Hata kutoka Uyole kwenda Sokomatola (paliponyooka) HUWEZI kuendesha kwa dakika moja.
Kiufupi HATUDANGAYIKI. Nimeandika kisayansi, lete hoja kisayansi pia.
 
Konga yuko Pale Makongolosi, kachoka ile mbaya, licha ya ujeuli aliokuwa nao enzi hizo.
Namkumbuka konga alikuwa akisema "kuishiwa Mimi pesa ni mpaka dunia yote iishiwe pesa". Saizi yuko hoi bin taabani.

Huyo mpumbafu wenu Konga na maneno yake ya nyodo mwambieni sasa aje kwangu Msoga nimpe kazi ya kufuga Tausi wangu kwani hana adabu kwa dunia
 
mjomba unatumia sayansi ya nadharia kutafuta jibu wakati ni swala la kwenda chunya na kuweka dau mezani ukajifunze kwa practical?

watu wanatumia sayansi ya theory kwenye magalaxy huko anga za juu kwa sababu sio rahisi kufika, sasa we hapa Chunya nako unahitaji theory?

kwa estimation zako na sayansi uliyoitumia inakuambia alitakiwa atumie dakika ngapi bwana sauli ngapi bila kuzidisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…