Unatokea kijiji gani bro? Tupac ndio alianza kufa. Sasa marehemu anauaje mtu aliye hai?2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Faiza kaenda mambele miaka ya 80, kaishi canada na usa sasa sijui mnachoshindania ni nini hasa, na huku bongo katokea ushuani na si unajua masaki na obey za zamani zilivyokuwaLabda slang ya kiarabu
Labda aliratibu b4 his death Kwahiyo wenzake wakaendeleza mipango,Unatokea kijiji gani bro? Tupac ndio alianza kufa. Sasa marehemu anauaje mtu aliye hai?
Hayo ni ww chawa wake unasema kwani background yangu unaijua au umekariri bro!Faiza kaenda mambele miaka ya 80, kaishi canada na usa sasa sijui mnachoshindania ni nini hasa, na huku bongo katokea ushuani na si unajua masaki na obey za zamani zilivyokuwa
Sijakubushia kuwa hujui bali nasema wewe na faidha mnaweza kuwa sawa hakuna wa kumshinda mwenzake, ila wewe mpuuzi unasema faiza hajui wakati hata humjuiHayo ni ww chawa wake unasema kwani background yangu unaijua au umekariri bro!
Kwanini unaingilia utani wa watu!!??Sijakubushia kuwa hujui bali nasema wewe na faidha mnaweza kuwa sawa hakuna wa kumshinda mwenzake, ila wewe mpuuzi unasema faiza hajui wakati hata humjui
Jaamaa anadhani ni movie haha aisee watu wanaenda kuwa charged ye anaona maigizo subir uone…Unahisi hizi ni drama!?
Nani amekuambia alikua anaishi bila amani?Imagine p.dd alivoishi maisha ya kutokuwa na amani miaka hiyo yote alaf kwanje tunaona wana roll na maluxury kama yote[emoji28]...duh ila pesa ita futwe tu inasaidia sana wakuu japo siyo happness
Kwani 2pac na big nani alitangulia kufa? Mbona kama unachanganya mambo2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Hatari mzeeHuu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...
No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...
Soon Diddy is gonna be no more..
No more will come and come for blacks..
Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....
Shtukenii.
Sio kweli. Mablack wengi wa marekani wametokea kwenye maisha ya getoHuu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...
No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...
Soon Diddy is gonna be no more..
No more will come and come for blacks..
Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....
Shtukenii.
Tena marekani ukitaka bunduki unaenda dukani tu kununua kama simu. Wahuni hawatamuacha salamaMagereza zipo nyingi mkuu si lazima akafungww walipo maadui zake hiyo si movie. Ila kufa atafia mtaani pona yake aende gerezani.
Kwa background ya Suge knight hata mimi niliamini hivyo,na kuna jamaa akatuchambulia vizuri na kiutaalamu mno hapa jamvini, kumbe urongo.Suge knight ndie alihusishwa na tukio Lile
Alipigwa katika ugomvi kwenye parking ya magari ilikua baada ya pambano kuisha, ndio usiku huo huo ambao 2pac alipigwa risasi mpaka kufa akiwa ndani ya gari barabaraniAlipigwa katika ugomvi au ilikuwa pambano la ngumi?
Kamama kaongo haka!! Ndiyo maana kanamfagilia huyo mwongo mwenzakeDidy ni mshenzi. Ana tuhuma za kuwahi kuwalawiti kina Usher na Bieber. Ogopa mtu anayejifanya ana upendo na mwema sana kwa kujionyesha. Asipokuwa makini huenda ukawa mwisho wake.
🤣🤣Kweli usiangalie muonekano wa mtu, angefanya buster rhymes na jinsi alivyo ingeendana.