Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Kwenye lile tukio la kwanza la kupigwa risasi Tupac pale quad studio New York mwaka 1994 pi Diddy alikuwepo kwenye mazingira yale,baada ya lile shambulio big poppa akatoa ngoma inayoitwa "Who Shot Ya"
 
Imagine p.dd alivoishi maisha ya kutokuwa na amani miaka hiyo yote alaf kwanje tunaona wana roll na maluxury kama yote[emoji28]...duh ila pesa ita futwe tu inasaidia sana wakuu japo siyo happness
Nani amekuambia alikua anaishi bila amani?
 
Huu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...

No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...

Soon Diddy is gonna be no more..

No more will come and come for blacks..

Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....

Shtukenii.
Hatari mzee
 
Huu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...

No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...

Soon Diddy is gonna be no more..

No more will come and come for blacks..

Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....

Shtukenii.
Sio kweli. Mablack wengi wa marekani wametokea kwenye maisha ya geto
 
Mbona jamaa kamsingizia Diddy wa watu jamani, ni ndio nilijaribu mpango mzima wa mauwaji ya Shakur
 
Back
Top Bottom