Sasa mkuu watu wakichukizwa na maisha binafsi ya mtu na wakaeleza hilo nalo linakuwa ushamba???
Yeye/wao walitumia haki yao ya kibinaadam kuamua matumizi ya miili yao,nasisi tunatumia haki hiyo hiyo kujieleza kwamba NO hatujafurahishwa na hilo.
Na siyo mmoja, huyo mmoja tumemfahamu kwakuwa alijitangaza lkn wote ni jamii moja!bora maana kuna mwanamke dume
AmenHalleluja
Kwani ngoma ya suzana n ya mwaka gani?Nilishtuka pale walipoanza kutoimba as a group, kama 2 years ago..
Tupe sources ya taarifa mkuuUkweli usemwe, huyo upinde kaenda kuolewa na mumewe amemkataza kufanya mziki so kwa haraka haraka wameona wavunje kundi. #HallandCity
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
[emoji15]Kuna mmoja hapo niliwai mpiga sound na jicho nikahaidiwa bado kulila tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada kua mpole usije uka Karangwa bila mafutaWapo kama Manyumbu wanapelekeshwa huku na kule, ushamba umejaa hii nchi hajulikani msomi nani, kilaza nani wote hali moja,
Nahisi huu moshi wa Mwenge una namna unaathiri akili za Watanzania wengi.
Au sioUpinde hao na nyie mnaowafatilia
Wote upinde
Ova
Kwani toka kundi lina anza hakua upinde?Chimano kuwa shoga ndio kaleta gundu
SubmittedNa nlikua napenda sana mziki wao kwakweli...basi tena wakahudumie tu waume zao hakuna namna
Ata enda kuolewaYule Choko je
CongratsI'm not a fan.
Yes, hart the band wata take over ila kama nao hawata vunjikaSauti sol ina miaka 20 ??.... Nilijua ni miaka kama 15 tu Ila nitamiss good music maana East Africa kulikuwa hakuna group kali kama lao, yamoto na Elani walikuja vizuri wakakata pumzi mapema [emoji30]
Muda wa Bien kuwa mega solo artist na Hart man band kusepa na kijiji
Useme ukweli mkuu, mm ninae mjua n mmojaNa siyo mmoja, huyo mmoja tumemfahamu kwakuwa alijitangaza lkn wote ni jamii moja!
Mziki wa mashoga sioNaona wengi hivi ime wafurahisha bila kuangalia athari za kukosekana kwa muziki mzuri
Sijaona na hawezi kutokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada kua mpole usije uka Karangwa bila mafuta
,[emoji41]Mziki wa mashoga sio
Majungu, wizi, utapeli, uchawi na roho chafu.Ukiangalia comments utajua wabongo wanapenda Majungu sana