Sauti Sol kutengana kwa muda usiofahamika, Mashabiki wagoma kuelewa

Hapo hamna mzima. Kwa vipimo vya Macho tu wote washafukuliwa tope.
 

Ni mbinu ya biashara hiyo!
Watakavyorudi, watatengeneza pasa nyingi sana!!!
 
Wapo kama Manyumbu wanapelekeshwa huku na kule, ushamba umejaa hii nchi hajulikani msomi nani, kilaza nani wote hali moja,

Nahisi huu moshi wa Mwenge una namna unaathiri akili za Watanzania wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.
 
Angefirwa kimya sie akaendelea kutupa burudani tu sasa kujitangaza ili iwe nini? Unadhani kwa tusiokubaliana na hilo tutaendelea kupenda mziki wao?? Shida yenu ndio hiyo kutaka kutangaza habari za miknd yenu tumieni kimya muendelee na maisha yenu
Kheeeh yaan chimanoo ajibanee kisa wee Eve kupenda mziki wao? Wee unapenda mziki wao au maisha yao binafsi nje ya mziki?? Mbna unachanganyaaa??

Nweii haiwapunguzii kituu, utawasikiliza wengine waliobako, yeye hizo sio shida zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mkuu watu wakichukizwa na maisha binafsi ya mtu na wakaeleza hilo nalo linakuwa ushamba???

Yeye/wao walitumia haki yao ya kibinaadam kuamua matumizi ya miili yao,nasisi tunatumia haki hiyo hiyo kujieleza kwamba NO hatujafurahishwa na hilo.
Sasa unataka wakufurahishe wee? Yaan maisha yake binafsi afu akufurahishee wee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia haiishi maajabu wallah.
 
Ahsanteeeeee dear
Ongezaa sautiiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wao wakipata bebez ruksa kujisnap nao, Chimano kapata bebe wanataka ajifiche, ubinafsi wa wabongo na roho za kutu.
 
Wao wakipata bebez ruksa kujisnap nao, Chimano kapata bebe wanataka ajifiche, ubinafsi wa wabongo na roho za kutu.
Shangaa nawee hapo, mtu kapata Mzungu wake asiji mwaye mwaye hiyo vepee? Eti kuogopa mtu yupo Mtogolee inahuuu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wabongo bhanaa wananiachaga hoi kweliii.
 
Shangaa nawee hapo, mtu kapata Mzungu wake asiji mwaye mwaye hiyo vepee? Eti kuogopa mtu yupo Mtogolee inahuuu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wabongo bhanaa wananiachaga hoi kweliii.
Wivuuuu hakuna kingine, chezeya kumilikiwa na Mzungu weweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…