Sasa wataifuatiliaje sauti?Pamoja na kujificha lakini nimeshangaa sana leo kigogo kusikika sauti yake.
Je polisi watafanikisha jambo lao la kumsaka kumkamata kupitia hiyo sauti?View attachment 1862816
Huyo jamaa ni hatari sanaJamaa anaonekana ni intelijensia
Hasira za kuhahakisha hajulikani ?Ila jamaa ana hasira sana
Tumia chrome mkuu.Aliyeisikiliza anisimulie kwangu hata haifunguki[emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda insta account ya James mbowe, Malisa na chadema in bloodAliyeisikiliza anisimulie kwangu hata haifunguki[emoji23][emoji23][emoji23]
Sauti zinafanana sana na lissu, 😁 huyu jamaa ni balaaSauti yake inakaribia kufanana na ya Tundu lissu,, sijui ni ndugu hawa jamaa !
Imevunja rekodi nadhani watu 6000+ sio mchezoAisee hii space ni kitu kipya?
Elfu sita kivipi mkuuImevunja rekodi nadhani watu 6000+ sio mchezo