raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kamaliza kuchora katuni kaamua kutengeneza katuni 🍻
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafkiri bwana masoud anatakiwa kujifunza hata kwa Hawa jamaa angalia hao wanaenda 300km@charge na n bus inabeba abiria Zaid ya 50 kifupi inabeba Zaid ya 3tn wakati ya masoud hata 1tn haibebi alafu inaenda 60km@charge.MASOUD na UDSM n wahuni tuu kama wahuni wengine na huyo jamaa wa wizards kasema ukweli ili cabinet ijue isije ikajiingiza mkenge kumdhamini apate pesa aende akaoe mke mwingine.
😆 Ili uweze kutengeneza Gari au kudedign Gari lazima iwe na vyote au kimoja Kati ya hv 🌻wewe n mpenzi wa magari 🌻Wewe n mtaalamu wa magari pia uwe umeishi kwenye magari naamini hili wataalamu watanielewa.
🙆 Kwenye dunia yasasa tunahitaji magari yenye uwezo wa kufanya kazi kubwa kwa kutumia nguvu kidogo sasa hyo ya masud hata Tani moja haibebi pia unatumia mwendo wa 60km ikiwa full charged wakati Gari Kama hyo ya petrol inaenda Zaid ya 350km ikiwa full tank na Zaid ya 400km Kama n ya umeme ikiwa full charged.
🙆 Usalama wa abiria ndani ya Gari n ndogo mno sababu Kuna nafasi Ndogo, hakuna airbag,
🙆 Muonekano wa Gari n mbovu Sana hasa alivyoifanya iwe was nyuma kidogo Kama angeifunika nyuma at least Ile design ingekuwa na maana.
🤦 Factory hawana Ile n karakana Kama ya fundi maiko tuu ukiwa na car factory au hata assembly point kila kitu kinafanya kwa department sasa hapo yeye ndio car tester, fundi engine hata overall, safety boot Hana Yan kavas vets, Gari ishafungwa engine, ishavalivywa kibini, ishawafungwa tairi ishaendeshwa lakini bado unaona jamaa wanaichomelea mbaya Zaid body inapigwa rangi baada ya kuivisha kwenye chasis.
🤦 Kifupi masoud ametumia weledi wake wa mtaani na mafundi wake wa mtaani Kama angeamua kufanya serious Basi angejipa safari aende mpaka Moshi kule Kuna karakana za kubadili body mfano n hz fuso nyingi (Tandam) zinachongewa huko hata zile cruiser longbase designer wapo kule pia angeruka kwa majirani like Uganda akawaone jamaa kule waliozindua Basi miez michache iliopita pia akaenda Kenya akaonana na matwana, nganya au maarafu Kama matatu culture hao jamaa wamejitahidi kumuheshimisha Isuzu mana Isuzu inaenda ikiwa ya mizigo inatoka ikiwa ya abiria na Muonekano wa kuvutia kweli.
🤦 Masoud akubali kuwa na naamini anajua Ila Sina uhakika Kama anaamini kwenye ubunifu, weledi na taaluma hvyo Kama angefikiria angeajiri wale wataalamu wa mitasn na wadarasani hapo angefanya hvyo tusingepata Ile body aisee.
🙉 UDSM waache kufikiria kuwa Gari n matairi kuanzia manne na kutembea Bali wanatakiwa kuwa na wataalaamu wa kufanya engine ya 600cc iweze kusukuma mzigo mzito tan 3, Kama gar n ya kabureta waje na ubunifu kiwekwe kitu kingine na ufanis uwe mkubwa, engine ya diesel au petrol huna haja ya kuweka coolant au maji tuweke kitu kingine na ufanis uwe mkubwa.
🙏 Kifupi tuna safari ndefu Kama Taifa Kama vijana wa UDSM wamekuja na Gari Kama la masoud ambako mpaka Sasa hata Gari za nyumbu Zina uafadhali Kiukweli tujatibu kuweka wataalamu kila hatua na kila mtu afanye la mezan kwake mwishowe tupate kitu Cha uhakika.
UDSM MNAIDHALILISHA TAALUMA YAN MNAZIDIWA NA MAFUNDI WA MTAANI KWELI?
Teh teh inabidi test akaifanyie baharini huko [emoji1]Sasa lile body kweli lingeweza hata nyenyuka?
Hahah sana jamaa Ana shyt sanaFala anadharau aisee.[emoji2][emoji2][emoji2]
Masoud mbona ameishi kwenye magari na Ana mapenzi na magariMASOUD na UDSM n wahuni tuu kama wahuni wengine na huyo jamaa wa wizards kasema ukweli ili cabinet ijue isije ikajiingiza mkenge kumdhamini apate pesa aende akaoe mke mwingine.
[emoji38] Ili uweze kutengeneza Gari au kudedign Gari lazima iwe na vyote au kimoja Kati ya hv [emoji258]wewe n mpenzi wa magari [emoji258]Wewe n mtaalamu wa magari pia uwe umeishi kwenye magari naamini hili wataalamu watanielewa.
[emoji134] Kwenye dunia yasasa tunahitaji magari yenye uwezo wa kufanya kazi kubwa kwa kutumia nguvu kidogo sasa hyo ya masud hata Tani moja haibebi pia unatumia mwendo wa 60km ikiwa full charged wakati Gari Kama hyo ya petrol inaenda Zaid ya 350km ikiwa full tank na Zaid ya 400km Kama n ya umeme ikiwa full charged.
[emoji134] Usalama wa abiria ndani ya Gari n ndogo mno sababu Kuna nafasi Ndogo, hakuna airbag,
[emoji134] Muonekano wa Gari n mbovu Sana hasa alivyoifanya iwe was nyuma kidogo Kama angeifunika nyuma at least Ile design ingekuwa na maana.
[emoji1751] Factory hawana Ile n karakana Kama ya fundi maiko tuu ukiwa na car factory au hata assembly point kila kitu kinafanya kwa department sasa hapo yeye ndio car tester, fundi engine hata overall, safety boot Hana Yan kavas vets, Gari ishafungwa engine, ishavalivywa kibini, ishawafungwa tairi ishaendeshwa lakini bado unaona jamaa wanaichomelea mbaya Zaid body inapigwa rangi baada ya kuivisha kwenye chasis.
[emoji1751] Kifupi masoud ametumia weledi wake wa mtaani na mafundi wake wa mtaani Kama angeamua kufanya serious Basi angejipa safari aende mpaka Moshi kule Kuna karakana za kubadili body mfano n hz fuso nyingi (Tandam) zinachongewa huko hata zile cruiser longbase designer wapo kule pia angeruka kwa majirani like Uganda akawaone jamaa kule waliozindua Basi miez michache iliopita pia akaenda Kenya akaonana na matwana, nganya au maarafu Kama matatu culture hao jamaa wamejitahidi kumuheshimisha Isuzu mana Isuzu inaenda ikiwa ya mizigo inatoka ikiwa ya abiria na Muonekano wa kuvutia kweli.
[emoji1751] Masoud akubali kuwa na naamini anajua Ila Sina uhakika Kama anaamini kwenye ubunifu, weledi na taaluma hvyo Kama angefikiria angeajiri wale wataalamu wa mitasn na wadarasani hapo angefanya hvyo tusingepata Ile body aisee.
[emoji86] UDSM waache kufikiria kuwa Gari n matairi kuanzia manne na kutembea Bali wanatakiwa kuwa na wataalaamu wa kufanya engine ya 600cc iweze kusukuma mzigo mzito tan 3, Kama gar n ya kabureta waje na ubunifu kiwekwe kitu kingine na ufanis uwe mkubwa, engine ya diesel au petrol huna haja ya kuweka coolant au maji tuweke kitu kingine na ufanis uwe mkubwa.
[emoji120] Kifupi tuna safari ndefu Kama Taifa Kama vijana wa UDSM wamekuja na Gari Kama la masoud ambako mpaka Sasa hata Gari za nyumbu Zina uafadhali Kiukweli tujatibu kuweka wataalamu kila hatua na kila mtu afanye la mezan kwake mwishowe tupate kitu Cha uhakika.
UDSM MNAIDHALILISHA TAALUMA YAN MNAZIDIWA NA MAFUNDI WA MTAANI KWELI?
Kwq hiyo mimi naona masoud Anglesea ameuunda siyo kuvumbuaHuenda kuna tafsiri tofauti juu ya kuunda na kugundua/kuvumbua kitu.
Huyu kipanya haieleweki, kaunda, kagundua au kafanya marekebisho/ukarabati.
Huenda hapendi MAGARI yaan magari yanamfata yeye sababu yupo kwenye kamfereji ka magari.Masoud mbona ameishi kwenye magari na Ana mapenzi na magari
Ova
Wengine huanza trials kwenye simulators kabla ya kuanza design.Teh teh inabidi test akaifanyie baharini huko [emoji1]
Ova
Yaah ndo ivo mkuu hata kuunda bado lina ukakasi.Kwq hiyo mimi naona masoud Anglesea ameuunda siyo kuvumbua
Ova
Sijui, kama nyie mna taarifa sawa, ila jamaa yulee mpondaji hajui abc zozote za masoud.Kipanya kafanya jambo kubwa ila kisanii , uzuri wa JF haina kubembeleza unachanwa ukweli na ukweli unakuweka huru , no kusifia sifia ujinga, alipozindua gar wadau wengi walijitokeza, lakni gari ikaonekana ni powerless , poor design na almost imeunganishwa unganishwa tuu vtu, sana sana alichofanya ni kuchora mchoro ambao nao alifeli tu ( aliuchora kikatuni katuni)
watu walimsifia na wakampa ushauri ,wahisani wakajitoa na akatengeneza pesa mingi tuu, wote haya tunayajua, jamaa akapotea kwenye karakana yake , no progress yyte ya maana , perhaps anataka aombe mpunga wa ruzuku serikalini kama mtanzania mwenye kiwanda cha kutengeneza magari , achukue mpunga alaf apite hv , wahuni wenzake wamemsanukia
Hata ndege,hata treni hata computer hata simu vyote vinafanyiwa assembling of different component.Huyo jamaa anarobgea utumbo ni bogus ws hsli ya juu, hakuna gari duniani inayoundwa kila kitu na jampuni moja. Vitu vinaundwa sehemu tofauti tofauti na vinakusanywa sehemu moja na kuunda kitu kimoja. Ndicho alichokifanya Masoud.
Yeye atuoneshe gari moja duniani ambayo components zote zimeundwa na kampuni moja au sehemu moja.
Tuondoleeni huo uchafu wa Masoud, hakuna lolote la maana zaidi ya nyundo za fundi Maiko. Hii siyo maisha plusSijui, kama nyie mna taarifa sawa, ila jamaa yulee mpondaji hajui abc zozote za masoud.
Mimi nilitarajia kama msemaji wa serikali angeweka vilelezo vinavyothibitisha kuwa gari iliagizwa.
Kwa maneno ya yule mpumbavu hana ushahidi ni roho mbaya tu ya kumuharibia Masoud.
Anasema TZ hakuna manufacturing plant ya injini Hivi RD inahitaji plant ya kuzalisha injini au sola?
Solar technology is very complicated kiasi cha kuanzisha tu kiwanda ili ufanye utafiti wa gari.
Battry technology nayo ni very complicated hata Tesla company wanategemea infrastructure za China ktk uzalishaji wao hawajitoshelezi.
Kuna wajinga Hapa TZ wanafikiri kuanzisha teknolojia ni rahisi tu kiasi kwamba masoud aweze kuunda gari kama wanavyotaka.
Someni Kantaka car company ya Ghana ilivyoanza, is not easy na bado hawajaaminika kwa 100%.
Huyo bosi wa wizara ajue kutofautisha
RD, Manufacturing industry na Hoby projects/Mud scientific project.
Masoud inabidi aweke wazi project yake tujue ukweli kama ni scamer/muhuni serikali imkamate afungiliwe mashitaka kwa wizi na udanganyifu.
Sasa tujadili nini? Yanga vs wanaija.Tuondoleeni huo uchafu wa Masoud, hakuna lolote la maana zaidi ya nyundo za fundi Maiko. Hii siyo maisha plus