Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Akili zako zinakufaa wewe tu...Utakuta kachukia jina Masoud tu, ingekuwa ni Samweli angesifia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako zinakufaa wewe tu...Utakuta kachukia jina Masoud tu, ingekuwa ni Samweli angesifia.
Waziri wa viwanda oneshe gari yake ambayo hajanunua china
Waziri mzima hajasoma misingi ya innovation.
Kinsingi karne ya 21 Hakuna invention ya gari bali kuna
innovation ya gari.
Hata Elon Musk hagundui gari mpya bali anafanya innovatio kwa kutumia teknolojia zilizopo kama motor,gear ya motor, computer gps, AI nk.
Tesla car si ugunduzi mpya ila wanajaribu kufanya ugunduzi mpya ktk betri, fast charging system na vitu vichache.
Huyo waziri ni kilaza sana.
Hajaelimika kabisa.
Waziri kasome historia ya
.Basi za Yotong, ilikuwa gereji.
.Fecon motorbike
.Honda, huyu alianza kukarabati baiskeli baadae pikipiki.
.Dell computer ilikuwa karakana ya electronics.
.Stive Job nae amewahi kuwa fundi wa kukarabati electronics gadget baadae apple co.
Historia ni nyingi mno
Viongizi badala ya kuwapa moyo watu wanaojaribu wao wanawakatisha tamaa, hii ni tabia ya waafrika wengi tofauti na rangi nyingine, viogizi ndio mashimo ya kudidimiza fikra za kimapinduzi.Hovyo saba.
Elon Musk angebakia Afrika angekutana viongozi mfu kana hawa bora alienda USA the country of big dream.
Masoud akihamia marekani ndoto yake itakuwa ya kweli.
Sauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.
Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
Ukisikia mawazo mgando ndio hayoUkiona ndugu yako anaunganisha unganisha madude na kusema kagundua yafuatayo.
[emoji736] Katapila.
[emoji736] Helicopter.
[emoji736] Kituo Cha kurushwa matangazo ya redio.
[emoji736] Gari.
Kaa naye mbali zimeshalipuka tayari.
Nchi ngumu hii! Yaani hawaoni kama kuna ujuzi watu wanaupata, hata kama wanachofanya ni kuunga vipande vinavyotoka nje ya nchi? Wanafikiri tutaanzia wapi?Sauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.
Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
Mbona kaongea ukweli?Sauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.
Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
Marekani anaunda magari lakini anatumia vipuri vingi sana kutoka china ,german na japanYaani aunge mkono vitu vya kipumbavu...ile gari inatudhalilisha wananchi
Ndio maana nchi haiwezi kuendelea kwa sababu ya wajinga kama nyieHiyo clip imekosewa wapi. Mbona hampendi kuambiwa ukweli nyie viumbe. Alichosema huyo afisaa ndio ukweli wenyewe
Wajinga wa aina yako wanapatikana ndani ya nchi maskini tuMbona kaongea ukweli?
Hebu tuwe realistic. Ilo gari alilotengeneza Masoud lipo katika category gani?Huyo jamaa wa Wizara naye (kama kweli ni wa Wizara), hajui kuwa Toyota anaagiza matairi, redio za magari, na vifaa vingine?? Yaani anaamini vifaa vyote vya gari kuanzia injini, bolt, nati mpaka rivet vyote vinapatikana kwenye kiwanda kimoja?
Aisee nadhani Kuna watu wapo kwenye nafasi ambazo hawakustahili kuwepo.
Halafu unapoomba kibali toka kwenye mamlaka ni kwamba lazima u-comply kwenye TOR au Guidelines zao na siyo mamlaka ifuate unachotaka wewe muombaji. Serikali inatulinda sisi ambao baadaye tungekuwa wateja wa hayo magari dhidi ya ajali na majanga tarajiwaKiongozi kaeleza ukweli ila atachukiwa, kwamba lile ni gari?