Sauti ya Kiongozi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara akiponda ubunifu wa Gari ya Masoud Kipanya yavuja

Sauti ya Kiongozi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara akiponda ubunifu wa Gari ya Masoud Kipanya yavuja

Huyo waziri yupo sahihi, kwenye issue hyo, japo ameongea lugha ya kebehi...

Masoud gari yake, kufanya assembly bila standard yoyote.. ni sawa tulivyokuwa watoto tunatengeneza magari ya mbao... Huwez sema pale umevundua kitu.

Ili kugundua kitu lazima utuonyeshe, kuanzia design calculation, drawing zote, capacity load, power loss kulingana muda ikiwa inatembea...

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Yani kuna watu hata hatua moja hajapiga lkn anakandia vibaya mno aliyepiga hatua mbili
 
Huwezi amka na stoo yako ukasema leo naunda gari, ukachomelea chomelea tu na kusema gari hili hapa.
Nakubaliana na wewe, sasa baada ya kumwambia uwezi amka na stoo yako na kuanza kuchomelea chomelea tumshauri nn afanye kuondoa makosa kuliko kumwacha peke yake. Na amini mpaka umeandika hivyo kuna kitu unajua na unaweza kumshauri vzr zaidi mkuu.
 
Nakubaliana na wewe, sasa baada ya kumwambia uwezi amka na stoo yako na kuanza kuchomelea chomelea tumshauri nn afanye kuondoa makosa kuliko kumwacha peke yake. Na amini mpaka umeandika hivyo kuna kitu unajua na unaweza kumshauri vzr zaidi mkuu.
Kitu ni anatakiwa awe na wazo, atafute watu wafanye design ya kila kitu
 
Masoud nae anaona gari lile 😂😂 nchi ngumu sana hii
 
sasa Si ndio ukweli huo au unataka nini tena kwani kuna gari hapo au maigizo ya wajuaji
 
Huyo jamaa anarobgea utumbo ni bogus ws hsli ya juu, hakuna gari duniani inayoundwa kila kitu na jampuni moja. Vitu vinaundwa sehemu tofauti tofauti na vinakusanywa sehemu moja na kuunda kitu kimoja. Ndicho alichokifanya Masoud.

Yeye atuoneshe gari moja duniani ambayo components zote zimeundwa na kampuni moja au sehemu moja.
 
Utakuta kachukia jina Masoud tu, ingekuwa ni Samweli angesifia.
 
Back
Top Bottom