Waziri wa viwanda oneshe gari yake ambayo hajanunua china
Waziri mzima hajasoma misingi ya innovation.
Kinsingi karne ya 21 Hakuna invention ya gari bali kuna
innovation ya gari.
Hata Elon Musk hagundui gari mpya bali anafanya innovatio kwa kutumia teknolojia zilizopo kama motor,gear ya motor, computer gps, AI nk.
Tesla car si ugunduzi mpya ila wanajaribu kufanya ugunduzi mpya ktk betri, fast charging system na vitu vichache.
Huyo waziri ni kilaza sana.
Hajaelimika kabisa.
Waziri kasome historia ya
.Basi za Yotong, ilikuwa gereji.
.Fecon motorbike
.Honda, huyu alianza kukarabati baiskeli baadae pikipiki.
.Dell computer ilikuwa karakana ya electronics.
.Stive Job nae amewahi kuwa fundi wa kukarabati electronics gadget baadae apple co.
Historia ni nyingi mno
Viongizi badala ya kuwapa moyo watu wanaojaribu wao wanawakatisha tamaa, hii ni tabia ya waafrika wengi tofauti na rangi nyingine, viogizi ndio mashimo ya kudidimiza fikra za kimapinduzi.Hovyo saba.
Elon Musk angebakia Afrika angekutana viongozi mfu kana hawa bora alienda USA the country of big dream.
Masoud akihamia marekani ndoto yake itakuwa ya kweli.