Sauti ya Kiongozi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara akiponda ubunifu wa Gari ya Masoud Kipanya yavuja

Sauti ya Kiongozi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara akiponda ubunifu wa Gari ya Masoud Kipanya yavuja

Maana gari lazima ipitie stage nyingi kabla haijaanza uzwa.

Kigezo cha mtu kununua gari ya umeme ni designe bora, utumiaji nishati bora, huwezi nunua gari ambayo kimuonekano ni mbaaaaya.

Gari inatembea km 60 tu, tena imewekewa battery kubwa sana, wakati kuna pikipiki zinatembea hadi km 120 zinauzwa 1mil KKOO
Nakwambia hivii
Huu muundo wa gari yake haufikii hata ile ford ya 1880s
 
Hilo gari anatakiwa alipitishe kwenye madimbwi muda huu wa mvua ili kuona je halitapiga shot

Anatakiwa aliendeshe angalau hadi Mwanza au Kigoma akiwa na watafiti ili wagundue shida ikoje.

Tesla imepitia stages nyingi na kila siku wanafanya updates
Weee hatadhubutu 😆 si umeona kwenye hio clip anaendesha tena akiwa ndani ya jengo
 
Mambo mengine inabidi ucheke mkuu hakuna namna ujanja ujanja mwingi alafu mambo yasio na muendelezo. Sawa kaunga gari basi kuwe na tija kwemye hilo jambo unakuta mtu anavimba tu kaunda gari ila hakuna faida yoyote anayoileta kwa nchi
Nyie woote ni kama huyo afisa aliyekuwa anamponda Kipanya Yaani inasikitisha watanzania tumejaa fikra za kurudishana nyuma.Badala ya kumbeza toa maoni ya ku improve zaidi. Eti ile ndege ya yule mvumbuzi wa Mbeya ni ya kukaa walevi wakiwa wanakunywa!! Mmejaa kejeli badala ya ku appreciate uvumbuzi na kuja na hoja za improvement. Kweli inauma saanaa.Watz acheni roho mbaya
 
Nyie woote ni kama huyo afisa aliyekuwa anamponda Kipanya Yaani inasikitisha watanzania tumejaa fikra za kurudishana nyuma.Badala ya kumbeza toa maoni ya ku improve zaidi. Eti ile ndege ya yule mvumbuzi wa Mbeya ni ya kukaa walevi wakiwa wanakunywa!! Mmejaa kejeli badala ya ku appreciate uvumbuzi na kuja na hoja za improvement. Kweli inauma saanaa.Watz acheni roho mbaya
Ikiuma chomoa. Maskini mnapenda kudanganywa danganywa tu
 
Sauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.

Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
Mwambie amchore huyo kiongozi katuniz
 
Sauti kutoka Kikao kilichohusisha wawakilishi kutoka wizara ya Uwekezaji, Viwanda na biashara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kikijadili mustakabali na maendeleo ya Tanzania ya Viwanda.

Hivi kama watu wenye mawazo ya aini hii ndio wamepewa mamlaka ya kusimamia masuala ya ukuzaji uzalishaji wa vitu nchini kuna mahali tutaenda kweli?
Body marcopolo Brszil

Engine Cummins Marekani
Gear box Sweeden
Diff Japana

Gari limetengenezwa kwenye assembling plant ya China model ya Yutong mpo hapo?
 
Ukiona ndugu yako anaunganisha unganisha madude na kusema kagundua yafuatayo.

✅ Katapila.

✅ Helicopter.

✅ Kituo Cha kurushwa matangazo ya redio.

✅ Gari.

Kaa naye mbali zimeshalipuka tayari.
wanashindwa kuziita tu locally ungainly ungainly assembling items Magari na hizo wanang'ang'ania kuwa wavumbuzi
 
Back
Top Bottom