Sauti ya Kiongozi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara akiponda ubunifu wa Gari ya Masoud Kipanya yavuja

Sauti ya Kiongozi kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara akiponda ubunifu wa Gari ya Masoud Kipanya yavuja

Nitamshawishi masud aniuzie hilo gari kwa billion moja halafu nalipeleka porini na kulichoma na namuongezea billion nyingine kwa kuingia makubaliano kamwe asiunde upuzi mwengine ajikite kuendelea kuchora vikatuni. Yani aibu tunaona sisi watanzania.
 
MASOUD na UDSM n wahuni tuu kama wahuni wengine na huyo jamaa wa wizards kasema ukweli ili cabinet ijue isije ikajiingiza mkenge kumdhamini apate pesa aende akaoe mke mwingine.


😆 Ili uweze kutengeneza Gari au kudedign Gari lazima iwe na vyote au kimoja Kati ya hv 🌻wewe n mpenzi wa magari 🌻Wewe n mtaalamu wa magari pia uwe umeishi kwenye magari naamini hili wataalamu watanielewa.

🙆 Kwenye dunia yasasa tunahitaji magari yenye uwezo wa kufanya kazi kubwa kwa kutumia nguvu kidogo sasa hyo ya masud hata Tani moja haibebi pia unatumia mwendo wa 60km ikiwa full charged wakati Gari Kama hyo ya petrol inaenda Zaid ya 350km ikiwa full tank na Zaid ya 400km Kama n ya umeme ikiwa full charged.

🙆 Usalama wa abiria ndani ya Gari n ndogo mno sababu Kuna nafasi Ndogo, hakuna airbag,

🙆 Muonekano wa Gari n mbovu Sana hasa alivyoifanya iwe was nyuma kidogo Kama angeifunika nyuma at least Ile design ingekuwa na maana.

🤦 Factory hawana Ile n karakana Kama ya fundi maiko tuu ukiwa na car factory au hata assembly point kila kitu kinafanya kwa department sasa hapo yeye ndio car tester, fundi engine hata overall, safety boot Hana Yan kavas vets, Gari ishafungwa engine, ishavalivywa kibini, ishawafungwa tairi ishaendeshwa lakini bado unaona jamaa wanaichomelea mbaya Zaid body inapigwa rangi baada ya kuivisha kwenye chasis.

🤦 Kifupi masoud ametumia weledi wake wa mtaani na mafundi wake wa mtaani Kama angeamua kufanya serious Basi angejipa safari aende mpaka Moshi kule Kuna karakana za kubadili body mfano n hz fuso nyingi (Tandam) zinachongewa huko hata zile cruiser longbase designer wapo kule pia angeruka kwa majirani like Uganda akawaone jamaa kule waliozindua Basi miez michache iliopita pia akaenda Kenya akaonana na matwana, nganya au maarafu Kama matatu culture hao jamaa wamejitahidi kumuheshimisha Isuzu mana Isuzu inaenda ikiwa ya mizigo inatoka ikiwa ya abiria na Muonekano wa kuvutia kweli.

🤦 Masoud akubali kuwa na naamini anajua Ila Sina uhakika Kama anaamini kwenye ubunifu, weledi na taaluma hvyo Kama angefikiria angeajiri wale wataalamu wa mitasn na wadarasani hapo angefanya hvyo tusingepata Ile body aisee.

🙉 UDSM waache kufikiria kuwa Gari n matairi kuanzia manne na kutembea Bali wanatakiwa kuwa na wataalaamu wa kufanya engine ya 600cc iweze kusukuma mzigo mzito tan 3, Kama gar n ya kabureta waje na ubunifu kiwekwe kitu kingine na ufanis uwe mkubwa, engine ya diesel au petrol huna haja ya kuweka coolant au maji tuweke kitu kingine na ufanis uwe mkubwa.

🙏 Kifupi tuna safari ndefu Kama Taifa Kama vijana wa UDSM wamekuja na Gari Kama la masoud ambako mpaka Sasa hata Gari za nyumbu Zina uafadhali Kiukweli tujatibu kuweka wataalamu kila hatua na kila mtu afanye la mezan kwake mwishowe tupate kitu Cha uhakika.

UDSM MNAIDHALILISHA TAALUMA YAN MNAZIDIWA NA MAFUNDI WA MTAANI KWELI?
 
Kavumbua gari ya umeme na karakana ipo bagamoyo, jamaa pale alitupanga sana hakuna lolote
Hata kama unaunganisha lile sio gari, halifai kuitwa gari.

Akaangalie assembly plant ya zile guta za umeme atajicheka
 
Huyo jamaa anarobgea utumbo ni bogus ws hsli ya juu, hakuna gari duniani inayoundwa kila kitu na jampuni moja. Vitu vinaundwa sehemu tofauti tofauti na vinakusanywa sehemu moja na kuunda kitu kimoja. Ndicho alichokifanya Masoud.

Yeye atuoneshe gari moja duniani ambayo components zote zimeundwa na kampuni moja au sehemu moja.
Wewe naye ni mpumbavu,sasa pale unaona kuna ubunifu gani?
 
Kipanya kafanya jambo kubwa ila kisanii , uzuri wa JF haina kubembeleza unachanwa ukweli na ukweli unakuweka huru , no kusifia sifia ujinga, alipozindua gar wadau wengi walijitokeza, lakni gari ikaonekana ni powerless , poor design na almost imeunganishwa unganishwa tuu vtu, sana sana alichofanya ni kuchora mchoro ambao nao alifeli tu ( aliuchora kikatuni katuni)

watu walimsifia na wakampa ushauri ,wahisani wakajitoa na akatengeneza pesa mingi tuu, wote haya tunayajua, jamaa akapotea kwenye karakana yake , no progress yyte ya maana , perhaps anataka aombe mpunga wa ruzuku serikalini kama mtanzania mwenye kiwanda cha kutengeneza magari , achukue mpunga alaf apite hv , wahuni wenzake wamemsanukia
Tatizo Masudi anataka aonekane yeye.
Kwenye design kuna watalamu ambao hufanya design, wanapitia patents kuona kama hawajaingilia patent ya mtu, kama wameingilia wanaomba ruhusa kutumia.

Na design kwenye magari ya umeme huanza sana na uzito wa gari kabla ya kwenda kwenye motor

Wakimaliza wanakuja kwenye Electricals and electronics

Suspension system

Charging system

Navigation etc

Computerization


Masudi hajafanya lolote kati ya hilo
 
Kiuhalisia hayo mazungumzo hayana kasoro yoyote na huo ni ukweli halisi. Kwanini?

1. Kipanya alisema amevumbua gari lake. Kitu ambacho hakikuwa ukweli. Kipanya alifanya vehicle body design kwa kuboresha muonekano wa muundo wa magari ambayo yapo tayari duniani. Hakuna uvumbuzi wowote pale.

2. Hiyo clip ni mazungumzo ya ndani, binafsi au siri baina ya maafisa wa wizara, hivyo wahusika walikuwa huru kuzungumza ukweli bila chenga baina yao. Hiyo sio chuki wala kitu kibaya. Ni mambo binadamu huwa tunafanya kila siku kwenye maisha yetu ya kawaida.
Masudi yeye kayachukua na kuyaweka background ya movie yake
 
Hivi ishu hii ya kutengeneza gari iliishia wapi? Dah Masudi ni mhangaikaji mwenzetu inabidi tumtie moyo japo dah!
 
Nimefurahi kuona JF haijakubali ujanja ujanja, kule Insta na Twitter viazi wanakomaa kumtetea Kipanya na gari lake la ajabu ajabu
 
TANZANIA ubunifu sifuri angalau Wakenya kidogo.
Tunapoteza pesa nyingi Sana kununua kirukuu, coaster, mabus toka nje hivi navyo vya kununua nje. Wenzetu Asia hivi wanaunda kwenye garage za chini ya mti bila mashine nzito ni nyundo grenda na welding machine tu unatoa bus,. Hata daladala, mabus eti nayo tutegemee China na japan.
 
yeye masudi kajiajiri huyo kiongozi si kaajiriwa?

aje aache kuajiriwa aone ugumu wa mtaa
Hii ndiyo hoja ya msingi, yaani wewe unajimwambafai kwamba ni engineer lakini hujaweza kubuni hata maksai ya kisasa ya kuvutwa na ng'ombe. Huwezi kubuni hata baiskeli ya umeme kweli?? Hata hapo Wizarani pamoja na u engineer wako umeshindwa kufufua magari mabovu hapo karakana ya Wizara/idara. Na unaweza kukuta hao ndiyo wale mabingwa wa kufoji invoice za manunuzi ya ndege kutoka dola 36 milioni to 87 milioni. Yaani ni mabingwa wa kuiba na kuitia hasara serikali, sasa wanatoa wapi huo ujasiri wa kuwadharau watanzania wa kawaida kabisa lakini wenye uthubutu??
 
Nyie woote ni kama huyo afisa aliyekuwa anamponda Kipanya Yaani inasikitisha watanzania tumejaa fikra za kurudishana nyuma.Badala ya kumbeza toa maoni ya ku improve zaidi. Eti ile ndege ya yule mvumbuzi wa Mbeya ni ya kukaa walevi wakiwa wanakunywa!! Mmejaa kejeli badala ya ku appreciate uvumbuzi na kuja na hoja za improvement. Kweli inauma saanaa.Watz acheni roho mbaya
Na hii ni kwa sababu they don't have that brain [emoji3447]... Wao waambie kubeti, mpira, bia tamu na utelezi [emoji23] [emoji23] wakipata nafasi serikalini basi jua kifuatacho ni ufisadi na upigaji...
 
Back
Top Bottom