Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Funny kwamba pepo mbili tofauti zimeahidiwa toka kwa mungu wa Abraham mmoja.

Lakini ukifuatilia, Mohammad kwa kuwa alikuwa warlord, alikuwa anawapromise wapiganaji wake mambo ya kuvutia kwa binadamu wa kiume. Vitu kama vile wanawake na pombe.

Similar thing walikuwa wanafanya. wakishateka mji, wakaua wanaume wao, wanagawana mali, wake na mabinti zao.
Nadhani aliona kwa mbinguni aongeze idadi ya wanawake na hali ya ubikra.
 
Huko ukisha fika hakuna muda wa lugha ya kuongea sijui Nini,au vile,ni unasomewa na ulipuliwa fireeee
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…