Mimi nataka uthibitisho ulio na logical consistency tu.Sio mpaka useme ila ndivyo sayansi inavyotaka, au labda wewe unataka uthibitishe vipi nje ya hivyo ndgu??
Exactly..Tulio hai ndio tunakuza sana ugumu wa kifo, ila aliekufa anajionea sawa tu maana ameshakutana nacho, sisi sasa waoga wa kifo ndio stori nyingiii
Tenda yale ambayo Mungu anatenda nitaamini.Hujanijibu swali langu.
Unajuaje hili ni jambo la imani la kweli ila halina ithibati ya kisayansi tu, na hili ni jambo lisilo na ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo tu?
Kwa mfano, nikikuambia mimi Kiranga ndiye Mungu muumba wa vyote, niamini, hili ni jambo la kweli la kiimani ila halina ithibati ya kisayansi tu, utaamini?
Hata yakiwekwa hutaamini.Mimi nataka uthibitisho ulio na logical consistency tu.
Sihitaji kumuona Mungu, sihitaji kumgusa, sihitaji hayo uliyoyaandika, umenikosea sana kuweka vigezo ambavyo mimi sijaviweka.
Umeelewa?
Unaelewa kuwa mtu anaweza kufanya uthibitisho wa kimantiki bila kuweka hayo uliyoyaweka wewe?
Hujathibitisha Mungu yupo.Tenda yale ambayo Mungu anatenda nitaamini.
Weka tuone. Kuna watu zaidi yangu wanafuatilia mjadala.Hata yakiwekwa hutaamini.
Yameshawekwa sana humu juu yako na bado hujayakubali.
Kuna muda ni vizuri kukubali kutokubaliana.
Majanga kama ya Ukraine ni natural disaster (ila hata hayo inajulikana sehemu ambazo ni prone to earthquake) Kwahio tukitofautisha ajali, uzembe na kutokuwajibika tutaacha kutoa justification na kuanza kuwa proactive...Majanga kama haya hayana mbabe mkuu, kumbuka tetemeko la uturuki, ghorofa la floors kumi unadhani watafanyaje ili kuharakisha uokozi?
InasikitishaDeep sorrow!
But all in all, vifo vya Watu hawa kamwe havikusababishwa kwa kudra ya Mungu, Bali ni kutokana na kuwepo kwa janga la rushwa, uzembe wa makusudi, ufisadi na kushindwa kuwajibika ipasavyo.
Aidha, kama kuna 'harufu' ya vitendo vya hujuma ya kupanga kuhusiana na ajali hiyo.
Hujatenda yale Mungu anatendaHujathibitisha Mungu yupo.
Kwa sababu Mungu hayupo.Hujatenda yale Mungu anatenda
Hakika ya udanganyifu"Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu."
(Surat Aal-E-Imran, 3:185)
(Surat Al-Hadid, 57:20)
Daah siwezi kuthibitisha uwepo wake kama wewe si muumini.Kwa sababu Mungu hayupo.
Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
Aaamyn.Angekufa mwislam, kwake kifo Cha kuangukiwa na jengo ingekuwa ni shahada, lakin wapi mtu anakufa badala ya kuomba istighfaar anahangaika na mtoto, na Hali hajui yeye huko aendako Kuna Hali gani Ewe Allah nijaalie mwisho mwema
Muumini hahitaji uthibitisho. Akihitaji uthibitisho huyo si muumini.Daah siwezi kuthibitisha uwepo wake kama wewe si muumini.
Samahani kwa hilo.
Inatakiwa wakisikia tuu mlio wa nyundo wote watoke nje wajue ni aina gani ya ujenzi unao endeleaWatu washaanza kuhofia juu ya kufanya biashara kwenye ghorofa. Wengine wanangojea mkataba uishe wahame.
Tetesi ni almost 50Imani yangu inaniambia walokufa ni wengi sana kuliko tunaotangaziwa kwa sasa wanaotangazwa ni wale waliopostiwa mtandaoni ndugu zao wakiwatafuta
Aamyn.Mungu tujalie mwisho mwema
"Lo! Allah! With Him is knowledge of the Hour. He sendeth down the rain, and knoweth that which is in the wombs. No soul knoweth what it will earn to-morrow, and no soul knoweth in what land it will die. Lo! Allah is Knower, Aware."Mungu alikuwa wapi kuzuia hilo jengo lisiporomoke?
Masikitiko mengi…..Mungu hivi Mungu vile.
Where was his ass in Seba’s hour of need?