Seba aliyeandika meseji kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho kwenye ghorofa ya Kariakoo lililoanguka, akutwa amefariki

Seba aliyeandika meseji kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho kwenye ghorofa ya Kariakoo lililoanguka, akutwa amefariki

Natoa salamu za pole kwa familia, ndugu, jamaa na watanzania wote kwa ujumla kwa kupoteza nguvu kazi hii katika tukio ambalo ni baya kabisa katika nchi yetu. Napendekeza hatua stahiki zichukuliwe ili kuepuka kujirudia kwa ajali kama hii ambayo mpaka sasa inonyesha ni uzembe wa watu kadhaa.
Vipaumbele vya Taifa letu bado ni vile vile, tusitoke kwenye mstari,
1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu
 
Utakuwa una matatizo makubwa sana kwenye akili zako.
Ona sasa akili zako na wewe, kwahiyo Yesu kashindwa kuzuia hilo janga?? Si kaombwa hapo na huyo tapeli??

Tumieni akili dadeki zenu nyie watanzania, si ajabu na wewe ulikuwepo hapo ukiiitia eiimen kubwa. Sasa hivi unailaumu serikali wakati ni wewe na mchungaji sijui askofu mlishindwa kuomba kuzuia janga 😂😂
 
Au hii ilikuwa ni kafara ya taifa star, siku ya tukio tukampga ethiopia, badaye tukampga gunea
 
Achana nao hao wanaotumia hili janga kuonesha hasira zao kwa serikali.
Kuna viumbe wengine wakawa wanasema ni kheri wangeachwa wananchi tu wafukue kwa mikono, serikali hamna ilichofanya wala hivyo vikosi vya uokozi hamna walichofanya...
Mtu kama hutu unaona kabisa ana chuki na serikali kwamba hata ifanye nini yeye hawezi ona jema lolote.

Mtu analalama ati kuokoa watu wiki zima ilhali yupo namtumbo si ajabu hata picha tu za jengo lilivyoanguka hajaziona, hajui shughuli za uokozi zinaendaje nk.
Lawama lawama lawama ndivyo hata familia zetu zilivyo.
Aende akajaribu kufanya kazi wanayo fanya jamaa ya kutoboa ukuta uliopigwa zege ya maana kwa nusu saa tu auone mziki wake ukoje naamini ataheshimu juhudi za watu
 
R
Kijana Seba aliyeandika message kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho siku mbili zilizopita.

View attachment 3158342

Mwili wake umeopolewa mda huu ukiwa tayari umeshaanza kuaribika kwenye jengo la Kariakoo.. Tayari mwili wake umepelekwa kwenye hospitali ya Amana kwa kwa taratibu nyingine za kuhustili..Roho ya marehemu ipumzike mahara pema peponi 😭😭 Inasikitisha sana jamani Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un💔🙏
R.I.P
 
Kijana Seba aliyeandika message kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho siku mbili zilizopita.

View attachment 3158342

Mwili wake umeopolewa mda huu ukiwa tayari umeshaanza kuaribika kwenye jengo la Kariakoo.. Tayari mwili wake umepelekwa kwenye hospitali ya Amana kwa kwa taratibu nyingine za kuhustili..Roho ya marehemu ipumzike mahara pema peponi 😭😭 Inasikitisha sana jamani Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un💔🙏
Poleni sana wafiwa.
 
Deep sorrow!

But all in all, vifo vya Watu hawa kamwe havikusababishwa kwa kudra ya Mungu, Bali ni kutokana na kuwepo kwa janga la rushwa, uzembe wa makusudi, ufisadi na kushindwa kuwajibika ipasavyo.

Aidha, kama kuna 'harufu' ya vitendo vya hujuma ya kupanga kuhusiana na ajali hiyo.
Hebu achana na utaahira wa huyo tapeli. Watu 110 toka wapi? Mtu anatupa jiwe gizani hakafu anasubiri siku yoyote litokee lolote hapo Kariakoo ili aje kusema alisema.., kwani ni mara ya kwanza Kariakoo kupata Majanga?
 
Hii scenario inanikumbusha yaliyotokea chernobyl. Bureaucratic incompetence imepelekea casualties unnecessary.
 
Back
Top Bottom