Lazima, lazima ahukumiwe, kwani akiachwa hivi hivi ni kosa kubwa sana, sbb habari zilizoko Kkoo na mitaani ni kuwa alianza ujenzi ambao ni hatari sana kwa kufukua msingi wa ghorofa akitaka kuongeza underground floors ili apate vyumba vingine apate fedha zaidi na ikumbukwe, huwezi fanya ujenzi wa hivyo, ni hatari sana na hakuna kibali cha ujenzi wa aina hiyo, so alifanya ujenzi kiuhuni, kizembe na kusababisha janga kubwa na baya sana kwa Taifa letu, na janga kama hili lingeweza epukika, ni uhuni na upuuzi mkubwa kafanya, kaua watu na huzuni kubwa kwa watanzania wote, hivyo lazima sheria ichukue mkondo wake ili wengine wasidhubutu kamwe kufanya ujenzi wa aina hiyo..!!