bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Muda upi sasa hio mission possible tayari ukishamuua muuaji ushahidi utapata wapi sasaAnalysis ya tukio lililotokea inahitaji muda kuichambua na si kuja na maneno ya haraka. Tujipe muda, si kila kitu kipo kama kinavyoonekana!
Ushashiba zako ugali na mchicha hapo Buza kwa mama kibonge naona ukaamua utuletee uchambuzi!! TunashukuruMimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..
Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.
Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa
Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..
Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..
Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..
And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Tambura kwanza jimbo alilokua jana wanatuhusu bunduki,so in that sense mtu yyt hakatazwi kuingia nayo na kwa mtu km huyo dogo ni nadra sn kumnasa/kumshtukia.Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..
Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.
Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa
Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..
Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..
Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..
And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Sio kweli walitaka kumuua na siowashirina wa trump hao ni Biden ganguwenda ikawa ni scene iiyo planiwa kwa kila hatua, ili T apate kura nyingi hasa zile za huruma.
Kuna wapiga kura watakao ingia kwenye mtego wa kujiuliza "kwa nini T ameshambuliwa"?,uwenda ana kitu cha kutufikisha kwenye asali tumpe yeye"
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwahiyo hapo tayari umeshajua sifanyi kazi?
Mwanzako ni afisa wa TRA makao makuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]FANYA KAZI WEWEE ACHA POROJO ZA KINDEZI JAMVINI.
Kama mwijaku eti jamaa kakupania hajui una watu wanne wankutegemea [emoji23][emoji23][emoji23]Nifanye kazi gani?
Boss mkubwa huyu omba ajira haraka [emoji23][emoji23][emoji23]Dogo tafadhali usinilazimishe nikutamkie neno baya kwako ikawa laana. Nimekuamuru mara moja ufanye kazi. Katika maisha yangu sipendi upuzi.Na nitakufuatilia kwa karibu sana kuhakikisha unafanya kazi. Ole wako sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tayari nimeshakuwin kisaikolojia na ndio hicho haswa nilikuwa nasumbuka kutafuta.
Secret Service wakitaka kumuua rais hawakosi.Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..
Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.
Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa
Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..
Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..
Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..
And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Possible hata wanaotaka kumuharibia Biden au serikali yake conspiracySio kweli walitaka kumuua na siowashirina wa trump hao ni Biden gang
Sawa mkuu
Duuh nchi hii mambo ya kutishiwa a yamerudi tena? Wenye mamlaka acheni hizo basi mna haribia mama!Dogo tafadhali usinilazimishe nikutamkie neno baya kwako ikawa laana. Nimekuamuru mara moja ufanye kazi. Katika maisha yangu sipendi upuzi.Na nitakufuatilia kwa karibu sana kuhakikisha unafanya kazi. Ole wako sasa.
Watakuambia before nani mjinga wa kukubali mission ya kutolewa uhai baada ya kuuaInexperienced!
Angetengeneza bargain chip before wasingemuua
Acha kujifanya mjuajiDogo tafadhali usinilazimishe nikutamkie neno baya kwako ikawa laana. Nimekuamuru mara moja ufanye kazi. Katika maisha yangu sipendi upuzi.Na nitakufuatilia kwa karibu sana kuhakikisha unafanya kazi. Ole wako sasa.