Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

Kashindwa kuwaondoa machangudoa,
Kashindwa kuwaondoa kina Matonya, kashindwa kulazimisha kila ofisi kuweka picha ya rais
Kashindwa kuwapima watu tezi dume
Yeye kafanya nn,mkoa umemshinda
 
Ofisi yenu ufipa haikupitia hii kabla ya kupost au ndiyo uwezo wenu umeisha hapo.
Yaani hujui hata Professor Mbarawa ni Waziri ktk Wizara gani?
 
Nahisi wananchi wengi ni wajinga sana kuweza kuwa na akili ya kufuatilia hayo mambo. Hata kama wanatuita keyboard heroes, ni sawa,ila tunajitahidi sana kuwaelewesha. Haya mambo tunayaongea humu like everyday! CAG anazuiwa kukagua manunuzi ya ndege, kukagua ATCL,Madini, n.k. Pengine kuna mengi zaidi amezuiwa,hatujui. Fedha kwa ajili ya matumizi ya ofisi ya CAG zimepigwa panga.Yanafanyika manunuzi bila kupitishwa na bunge wala kufuata procurement law,wananchi wanaona ni sawa. Attitude za wananchi wenzetu zinakatisha tamaa sana.
 
Ofisi yenu ufipa haikupitia hii kabla ya kupost au ndiyo uwezo wenu umeisha hapo.
Yaani hujui hata Professor Mbarawa ni Waziri ktk Wizara gani?
Mpaka sasa unawaza ujinga huu basi hakika tupo kwenye ujinga zaidi ya shetani.
 
Nice chief umeongea kizalendo sana. Mungu akubariki maisha yako
 
Umeona tu Makame Mbarawa ukakimbilia kucomment. Aiseee hiyo habari ni ya tar 23 mwezi wa 4
Profesa Makame Mbarawa ni waziri wa ujenzi? Eti huyu ndiyo akili kubwa ya chadema anayetegemewa ni aibu.
 
Sheria za matumizi ya fedha za umma zilizotungwa enzi zile zilikataa kukagua matumizi yanayofanyika ofisi ya raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mapato na matumizi ya MIGODI YOTE YA SERIKALI, MASHIRIKA YA ATCL NA TANRODS hayakaguliwi kwa mujibu wa sheria siyo kwa matakwa ya JPM tulieni vilaza nyie msiwapotoshe watanzania.

Mtapata tabu sana awamu hii ya tano wapiga madili hali yenu itazidi kuwa mbaya
 
Ficha ujinga wako. Hii ni habari ya April. Jibu hoja ya kwanini CAG hakagui ATCL na TANROADS?
Ofisi yenu ufipa haikupitia hii kabla ya kupost au ndiyo uwezo wenu umeisha hapo.
Yaani hujui hata Professor Mbarawa ni Waziri ktk Wizara gani?
 
Kwa hiyo wewe unaona ni sahihi kwa hayo mashirika kutokaguliwa?
 
Umesahau na kwenye madini..sidhani kama CAG anagusa huko...

Hakuna serikali tapeli na pigaji kama hii ya awamu ya 5..muda utaongea..

CCm ni genge la wanyanganyi na wahuni.

#MaendeleoHayanaChama.
 
Nahisi CAG ajaye atakuwa ni kada wa CCM sampuli ya Humphrey Pole Pole.
 
we ndo kilaza kama hata hujui shrika la ATCL halikua chini ya rais meko alvyoingia akaon kuagiza scraper atapigamo akaamua kuliweka chini yake
 
Bora aifute ofisi ya CAG, wanalipwa mishahara bila kazi za kufanya! Awamu ya 5 ni upigaji tu!
Intarahamwe anajifanya mzalendo kwenye nchi isio yake. eti kagame ndio amenifundisha uongozi. Amekufundisha uongozi au upigaji?
 
Conman anaifilisi hii nchi, ccm oyeeeee kwa kutuletea jembe la ufisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…