Sehemu gani nzuri kupumzika Dar es Salaam na baby?

sijaona ile threa nilifungua kufurahisha watu na mimi mwenyewe nipoteze mawazo. mimi ni kijana tuu mdodo na miaka 25 kuona ni mpaka 27 kuna kitu namalizia kukifanyia tafiti ndo nikichukue nyumbani
Umesahau hii: big gift
 
Kwanza jifunze kuandika anza na herufi kubwa kwa kila sentensi ndipo utuhubirie yatokanayo na uteja
 
Mtu wa kutafuta faragha nzuri ni wakike, wewe sehemu nzuri ya kupumzika ni yeye.
 
Hahaaaa inamaana mtu ukifungua thread unatafutuwa cv yako ya nyumaa hahaaaa JF nomaaa
 
nenda sadan mkuu, pazuri sana mm nilikuwa kule nimeenjoy sana
 
Mkuu Big Fit juzi tu hapa ulikuwa unaomba kubadili kituo cha kazi kutoka Morogoro kuja Dar kwa sababu za kiafya. Three days leo unasaka mahali pa kustarehe. Anyway una haki ya kutumbua pesa zako utakavyo kwani ni zako na hakuna aliyekusaidia kuzisaka. Double Tree ukiomba Presidential suite hutajuta.
 
yaa, kuna tatizo linanisumbua la vumbi, atleast dar nkiwa na usafiri wangu itakua poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…