Kwhy unaamini kabisa mtu hawezi kutoka na mpenzi wake kwa bajeti ya 100K.Hujasema budget yako mkuu.!
Basi nimeona 100k 😹😹
Kumbe na wewe hauko serious mfyuu.!!
Ila kwa hizo comments za waungwana mbavu zinauma kwa kucheka…. Sema na wewe unawapatia majibu ya kuwapa basi uzi unachekesha balaa.!! 😹😹😹
Wala usipandishe sukari mkuu hiyo nyingi sana na chenchi inabaki, nendeni Johari Rottana 😹Kwhy unaamini kabisa mtu hawezi kutoka na mpenzi wake kwa bajeti ya 100K.
Hivi unahisi dunia hii inajzungusha kwenye kichwa chako?
Kwamba maisha fulani ndio standard.
Hapana, masaki hapo hapo atapata affordable price. Aende kwa hawa niliomwambia kuna wide range selection ya around 30kmmh mwambie aende tu buza hapo masaki msosi tu elfu 80 na kuendelea hapo bado hajalipa kiingilio hiyo laki hamna kitu asiende masaki
Nenda naye Sewa bar BuguruniHabari za jioni.
Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.
Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.
Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).
M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea
Mad Max,
Asante mkuu, ubarikiwe.Ngoja nikupangie ratiba kutoka Mchana hadi Usiku kijana.
Asubuhi
-Kula msosi mzuri, home ili uwe na nguvu siku nzima.
Mchana
-Nendeni beach za public (Coco itakua nzuri)
-Usimlishe mihogo mtoto wa watu.
-Kuna restaurant inauza Pizza pale mnaweza kula nikikumbuka jina nakutajia, hawana option ya size so zote nahisi ni large mnakula kwa 25,000 mnapata
Jioni
-Mkitoka Coco nendeni Sleepway mkashangae shangae.
-Hapa mtakula ice cream cheap isivuke 10,000 wewe usile mpe mtoto tu.
Usiku
(Nita assume hamtumii vilevi)
-Nenda cinema 20,000
-Unavyotoka pitia Streetwise 3 hapo KFC na Crusher moja 25,000
Ili asile sana, kila mkikutana na wasukuma baiskeli wa Azam mnunulie.
Usinunue maji makubwa mkawa mnatembea nayo.
Tumia Bolt ya Bajaji usitumie ya Gari.
ASIJE NA WENZAKE.
All the best kaka
Hapa chakula cha bei ya chini kinaanzia 35, acha kumuingiza kingUnaishi wapi kwanza, nendeni Delta hotel kwa dinner, and the ambiance.
Chumbani ni sehemu nzuri zaidiHabari za jioni.
Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.
Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.
Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).
M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea
Mad Max,
sawa sawa mkuuHapana, masaki hapo hapo atapata affordable price. Aende kwa hawa niliomwambia kuna wide range selection ya around 30k View attachment 3181042View attachment 3181043unapata msosi wako poa kabisa. Ningeweza kuweka menu zaidi ila huo ni mfano
Tuende kwenye Dunia yetu♥️babe..au unasemaje?!NoncChalant sisi twende wapi my ♥️ .