Sehemu kubwa ya pesa inaenda USA na simu ni kampuni ya China

Sehemu kubwa ya pesa inaenda USA na simu ni kampuni ya China

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Ice_Blue.png

Hesabu ziko HIVI; ukinunuwa SIMU yeyote iliyotengezwa china kama Tecno, Itel, Huawei, Redmi, sumsung, etc,etc sehemu kubwa ya hela INAENDA USA.

Kwa Nini? SIMU zetu Zina hardware na software, yaani program kama fb, Whatsapp, Twitter, etc,etc. Sehemu kubwa ya hizo software ni makampuni ya USA kama Twitter, fb, YouTube, Google, etc,etc. Kwa hiyo mchina hapo anatengeneza lihousing tu Hilo na asilimia kubwa ya hela inapelekwa Kwa hayo makampuni Kwa sababu anaingia nao mkataba na yeye anapata kidogo tu.

Ndiyo maana hayo makampuni ni tajiri na hao wenye hayo makampuni ndio wanaongoza Kwa utajili Duniani.

Msidanganyike Kwamba mchina anatengeneza SIMU. Ni uongo. Hizo Tecno return yake kubwa INAENDA USA.

Kwa hiyo watu wengi hawajui. Na SIMU ni hizo application programs, hardware ni Kwa sehemu tu.
 
View attachment 2229895
Hesabu ziko HIVI; ukinunuwa SIMU yeyote iliyotengezwa china kama Tecno, Itel, Huawei, Redmi, sumsung, etc,etc sehemu kubwa ya hela INAENDA USA.

Kwa Nini? SIMU zetu Zina hardware na software, yaani program kama fb, Whatsapp, Twitter, etc,etc. Sehemu kubwa ya hizo software ni makampuni ya USA kama Twitter, fb, YouTube, Google, etc,etc. Kwa hiyo mchina hapo anatengeneza lihousing tu Hilo na asilimia kubwa ya hela inapelekwa Kwa hayo makampuni Kwa sababu anaingia nao mkataba na yeye anapata kidogo tu.

Ndiyo maana hayo makampuni ni tajiri na hao wenye hayo makampuni ndio wanaongoza Kwa utajili Duniani.

Msidanganyike Kwamba mchina anatengeneza SIMU. Ni uongo. Hizo Tecno return yake kubwa INAENDA USA.

Kwa hiyo watu wengi hawajui. Na SIMU ni hizo application programs, hardware ni Kwa sehemu tu.
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
[emoji106]
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
Saa hizi Kuna hawa wanyama wawili wanakuja kwa kasi hasa bara la ulaya Oppo na Xiaomi
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
HarmonyOS-smartphoe.jpg
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
Bro ishu haikuwa mauzo, ishu ilikuwa tech ya 5G Mmarekani alikuwa anapigwa bao la kijasusi na china, kwa kifupi mmarekani alikuwa anaogopa china ifanye kitu ambacho yeye anafanya kwenye tech. Kwenye pesa inayopatikana kwenye mauzo hakuweza kufika hata nusu ya pesa anayoingiza apple
 
Bro ishu haikuwa mauzo, ishu ilikuwa tech ya 5G Mmarekani alikuwa anapigwa bao la kijasusi na china, kwa kifupi mmarekani alikuwa anaogopa china ifanye kitu ambacho yeye anafanya kwenye tech. Kwenye pesa inayopatikana kwenye mauzo hakuweza kufika hata nusu ya pesa anayoingiza apple
Screenshot_20220518-232541.jpg
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
Screenshot_20220518-232407.jpg


Screenshot_20220518-232541.jpg
 
View attachment 2229895
Hesabu ziko HIVI; ukinunuwa SIMU yeyote iliyotengezwa china kama Tecno, Itel, Huawei, Redmi, sumsung, etc,etc sehemu kubwa ya hela INAENDA USA.

Kwa Nini? SIMU zetu Zina hardware na software, yaani program kama fb, Whatsapp, Twitter, etc,etc. Sehemu kubwa ya hizo software ni makampuni ya USA kama Twitter, fb, YouTube, Google, etc,etc. Kwa hiyo mchina hapo anatengeneza lihousing tu Hilo na asilimia kubwa ya hela inapelekwa Kwa hayo makampuni Kwa sababu anaingia nao mkataba na yeye anapata kidogo tu.

Ndiyo maana hayo makampuni ni tajiri na hao wenye hayo makampuni ndio wanaongoza Kwa utajili Duniani.

Msidanganyike Kwamba mchina anatengeneza SIMU. Ni uongo. Hizo Tecno return yake kubwa INAENDA USA.

Kwa hiyo watu wengi hawajui. Na SIMU ni hizo application programs, hardware ni Kwa sehemu tu.
Hizi kamba tu, hao kina FB wanalipa Hizo kampuni ili waweke App zao, na sio kwamba wao wanalipwa.

Kina FB wanapata hela kwako, wewe mtumiaji ndio bidhaa na unawaingizia hela.
 
View attachment 2229895
Hesabu ziko HIVI; ukinunuwa SIMU yeyote iliyotengezwa china kama Tecno, Itel, Huawei, Redmi, sumsung, etc,etc sehemu kubwa ya hela INAENDA USA.

Kwa Nini? SIMU zetu Zina hardware na software, yaani program kama fb, Whatsapp, Twitter, etc,etc. Sehemu kubwa ya hizo software ni makampuni ya USA kama Twitter, fb, YouTube, Google, etc,etc. Kwa hiyo mchina hapo anatengeneza lihousing tu Hilo na asilimia kubwa ya hela inapelekwa Kwa hayo makampuni Kwa sababu anaingia nao mkataba na yeye anapata kidogo tu.

Ndiyo maana hayo makampuni ni tajiri na hao wenye hayo makampuni ndio wanaongoza Kwa utajili Duniani.

Msidanganyike Kwamba mchina anatengeneza SIMU. Ni uongo. Hizo Tecno return yake kubwa INAENDA USA.

Kwa hiyo watu wengi hawajui. Na SIMU ni hizo application programs, hardware ni Kwa sehemu tu.
Akiri unayo ila una kaujinga fulani hivi.
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
Umemkosoa bure Tu jamaa hapo .......wew ndio marinda huna kabisa kama sio akili..........hiyo Huawei vifaa anauziwa na West kuna kitu kinaitwa chip inatoka marekani na Japan mchina bado ajui kutengeneza.....hiyo android system inatoka west .....hiyo Huawei ukiitoa android itakuwa na Sura gani kama sio game la watoto??...usiikosee adabu kabisa I phone maaana kampuni yake ndio yenye mtaji mkubwa kwenye kuwekeza kuliko kampuni yeyote Ile duniani Wanakalibia Dola trillion moja .....kaoge ulale sawa
 
Wee jamaa ni mtu mjinga snaa endelea kujifunza naona umekuja kunikunyata uku baaada ya dada zako kijisalimiasha nikukunbushe Tu Huawei alikuwa anaenda kuwatoa sumsung na iPhone na kuwa kinara WA simu zake kuuzwa sana duniani naonaa Marekani akatafuta sababu akaweka vikwazo ili kumshusha Ila Jambo la muda Tu atarudi chini uyoo mewenu
Kazi kusifia vya wenzenu. Nyie vyenu viko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom