njoo 101 kahama uinjoy djzz...Ukiachana na Haile salasie strip, ambazo kuna Elements, SamakiSamaki na sehemu nyingi zengine za starehe. Clubs kama Maison na Havoc, Tips na wavuvi camp.
Sehemu kwengine Most ni average hata Bar iwe nzuri vipi. Kwanza the selection ya music ni ileile, Ma dj wanapiga nyimbo zile zile trendy Wala hawana exposure za mood na upana wa muziki.
Ila ndio hivyo consumers wengi wa Tanzania hawana exposure, hivyo ndio maana watu hawapo aware. Wamestuck na subpar music and a whole concept of fun.
Niliposoma Comment nikasema huyu jamaa anamajigambo kama Wahaya kuja kwenye Id ni mule mule. Nyie ndugu zetu kwa mbwe mbwe hamna mpinzani. Hiyo Verde Hotel yenyewe unaishia kuiona kwa pichaπ€£Inategemea ntu na ntu .na mood yako binafsi Mimi siwezi kwenda sehemu yenye watu wengi km bar
NAPENDA hotel Kama vede pale kwa bakhressa
Sehemu yoyote Ile yenye mapiano hua sikai.Hakuna Cha ziada ,atleast wanaleta ma DJ wanaojua na kuwa na taste mbalimbali ya mziki. Imagine unakaa sehemu masaa matano na nyimbo zote ni amapiano, diamond, harmonize na marioo. It's boring
TrueUsijaribu kwenda mahali wabongo wanapasifia sana utaishia kuboreka tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]Niliposoma Comment nikasema huyu jamaa anamajigambo kama Wahaya kuja kwenye Id ni mule mule. Nyie ndugu zetu kwa mbwe mbwe hamna mpinzani. Hiyo Verde Hotel yenyewe unaishia kuiona kwa picha[emoji1787]
Ha ha ha JF balaa! Unaweza kujikuta kesho yake unajiimbia tu Amelaa ameloaAmeeeloooowa ameelooooowa amenyeshewaaaa na mvuuuua π
maeneo mengi nikienda ni kwasabb ya πΊ na mamb mengine mziki ni kama sihusikiagi kabsa
Ndio hatari ya mzikiHa ha ha JF balaa! Unaweza kujikuta kesho yake unajiimbia tu Amelaa ameloa
FactSasa madj wawe na exposure kwa elimu ipi? Wengi walikimbia shule mzee
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Elements na Samaki samaki kuna nini cha ajabu? Kuna places kibao uswazi nzuri kuliko hizo ulizotaja. Umezuzuliwa na location nini?
Hakuna Cha ziada ,atleast wanaleta ma DJ wanaojua na kuwa na taste mbalimbali ya mziki. Imagine unakaa sehemu masaa matano na nyimbo zote ni amapiano, diamond, harmonize na marioo. It's boring
Hii sehemu makini sanaNjoo huku grand nolasko Kigamboni sisi ndio tunatoka asubuhi hii tukabadili nguo kwanza sio kulala