Kuna wenyewe huko. Weekend mpaka wanafanya extension barabarani. Hio njia siku za weekend kuanzia saa 4 usiku hadi 12 asubuhi haipitikiKuna siku nikasema nitoke huku Bonyokwa niende Element
Jamani nothing special
Bora kukesha kitambaa cheupe
💯🤝 wachache watakuelewaUkiachana na Haile salasie strip, ambazo kuna Elements, SamakiSamaki na sehemu nyingi zengine za starehe. Clubs kama Maison na Havoc, Tips na wavuvi camp.
Sehemu kwengine Most ni average hata Bar iwe nzuri vipi. Kwanza the selection ya music ni ileile, Ma dj wanapiga nyimbo zile zile trendy Wala hawana exposure za mood na upana wa muziki.
Ila ndio hivyo consumers wengi wa Tanzania hawana exposure, hivyo ndio maana watu hawapo aware. Wamestuck na subpar music and a whole concept of fun.
Watangazie biashara wenzio huku ukibaki unashangaa wanavyo tengeneza mkwanja.Ukiachana na Haile salasie strip, ambazo kuna Elements, SamakiSamaki na sehemu nyingi zengine za starehe. Clubs kama Maison na Havoc, Tips na wavuvi camp.
Sehemu kwengine Most ni average hata Bar iwe nzuri vipi. Kwanza the selection ya music ni ileile, Ma dj wanapiga nyimbo zile zile trendy Wala hawana exposure za mood na upana wa muziki.
Ila ndio hivyo consumers wengi wa Tanzania hawana exposure, hivyo ndio maana watu hawapo aware. Wamestuck na subpar music and a whole concept of fun.
Ntu-mtuInategemea ntu na ntu .na mood yako binafsi Mimi siwezi kwenda sehemu yenye watu wengi km bar
NAPENDA hotel Kama vede pale kwa bakhressa
Vede- vileNtu-mtu
Km- kama
Vede hotel Umefika?Vede- vile
Barra BeachNilienda sehemu moja Iko beach mitaa ya bahari beach karibu na ledger plaza yaani kuanzia mchana Hadi usiku ni Amapiano tu jioni akapiga mbili tatu za kibongo...watu wanalalamika lakini wahusika awaonyeshi kujali..maana watu Kuna time wanataka nyimbo at least wadance kidogo.
Ubungo.ukiwa mandela road external mataa unaingia njia ya kwenda TMDA mbele kidogoWapi huko mkuu?
Hicho kitu kina kera sanaHakuna Cha ziada ,atleast wanaleta ma DJ wanaojua na kuwa na taste mbalimbali ya mziki. Imagine unakaa sehemu masaa matano na nyimbo zote ni amapiano, diamond, harmonize na marioo. It's boring
Kiukwel sehemu zipo chache kila mwenye bar na grocery anaamin kila mtu anapenda kelele na trend music kumbe sivyo.....mazingira pia huwa yanafanana hamna ubunifu wa kuvuta watu....binafsi mda mwingi napenda kuwa sehemu ya mzik tulivu ila nikiwa high niende sehem kama kwetu pazur..smart au tnt maana hapo tunakuwaga kama ng'ombe kwenye joshoUkiachana na Haile salasie strip, ambazo kuna Elements, SamakiSamaki na sehemu nyingi zengine za starehe. Clubs kama Maison na Havoc, Tips na wavuvi camp.
Sehemu kwengine Most ni average hata Bar iwe nzuri vipi. Kwanza the selection ya music ni ileile, Ma dj wanapiga nyimbo zile zile trendy Wala hawana exposure za mood na upana wa muziki.
Ila ndio hivyo consumers wengi wa Tanzania hawana exposure, hivyo ndio maana watu hawapo aware. Wamestuck na subpar music and a whole concept of fun.
Imagine Kila sehemu it's same same playlist. Kuanzia bongo flava,afrobeats na mapiano Yao,Ngoma zile zile.Kiukwel sehemu zipo chache kila mwenye bar na grocery anaamin kila mtu anapenda kelele na trend music kumbe sivyo.....mazingira pia huwa yanafanana hamna ubunifu wa kuvuta watu....binafsi mda mwingi napenda kuwa sehemu ya mzik tulivu ila nikiwa high niende sehem kama kwetu pazur..smart au tnt maana hapo tunakuwaga kama ng'ombe kwenye josho
MaDj wa bongo miyeyusho sana aisee hivi hata EDM hawazijui ni hadi niende wavuvi camp ndo nazikutaga almost always. Hata kugoogle tu wajue ngoma kali za billboard wakamix kidogo hawajui. Kila sehemu wanapiga nyimbo zinafanana ni bahati sana ukute Dj anajielewaHakuna Cha ziada ,atleast wanaleta ma DJ wanaojua na kuwa na taste mbalimbali ya mziki. Imagine unakaa sehemu masaa matano na nyimbo zote ni amapiano, diamond, harmonize na marioo. It's boring
hajawahi kufika matako bar huyoElements na Samaki samaki kuna nini cha ajabu? Kuna places kibao uswazi nzuri kuliko hizo ulizotaja. Umezuzuliwa na location nini?
Mkuu unaenda wavuvi camp kufuata muziki?MaDj wa bongo miyeyusho sana aisee hivi hata EDM hawazijui ni hadi niende wavuvi camp ndo nazikutaga almost always. Hata kugoogle tu wajue ngoma kali za billboard wakamix kidogo hawajui. Kila sehemu wanapiga nyimbo zinafanana ni bahati sana ukute Dj anajielewa
Hahaha hajielewi alafu anajiona anajuaVede hotel Umefika?