LexPaulsen
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 316
- 609
Club za huku mitaani hata ule kitimoto kilo 2 na bia ukifika kwako kulala ni kama hujalaMaDJ kilio changu huwa ni volume asee nadhani kwa sababu ya hii kazi wanakuwaga kma viziwi hivi, mziki sauti iko juuu sanaaaa hata spika zinalia kma zimechanika. Huwa wanafeli wapi kuweka sauti moderate watu tupige chupa, tutongoze maliasili za nchi yetu.
Club za huku mitaani hata ule kitimoto kilo 2 na bia ukifika kwako kulala ni kama hujala
Mziki mkubwa unatumia nguvu nyingi kuongea ukifika mbavu zinauma na njaa kali
Yeah! nishawahi kwenda Kwa sababu ya aina flani ya muziki wanayopiga siku Ile. Mostly weekdays,kupitia Instagram Yao hua wanasema atakua Dj nani Leo na session yake. Atleast unakuja unajua kitu utachokutana nacho.Mkuu unaenda wavuvi camp kufuata muziki?
You love your music.Yeah! nishawahi kwenda Kwa sababu ya aina flani ya muziki wanayopiga siku Ile. Mostly weekdays,kupitia Instagram Yao hua wanasema atakua Dj nani Leo na session yake. Atleast unakuja unajua kitu utachokutana nacho.
Huwezi kulisha Simba majani, hata awe na njaa vipi, elewa hiloUkiachana na Haile salasie strip, ambazo kuna Elements, SamakiSamaki na sehemu nyingi zengine za starehe. Clubs kama Maison na Havoc, Tips na wavuvi camp.
Sehemu kwengine Most ni average hata Bar iwe nzuri vipi. Kwanza the selection ya music ni ileile, Ma dj wanapiga nyimbo zile zile trendy Wala hawana exposure za mood na upana wa muziki.
Ila ndio hivyo consumers wengi wa Tanzania hawana exposure, hivyo ndio maana watu hawapo aware. Wamestuck na subpar music and a whole concept of fun.
Ma DJs hapo kweli wengi ni new generation... Wanapiga New Hits & Tranding Songs za bongo, Amapiano music na Nigerian hits basi.... ma DJ wengi hawana uelewa mpana na muziki wa zamani au either hawana kabisa hizo nyimbo kwenye drive storages zao si watu wa kufatilia muziki kabisa ila wanaenda na upepo wa mkumbo, wengi wao hawana passion na fani yenyewe wanafanya tu basi kama sehemu ya kujiingizia kipato but out of their interests kutoka moyoni za fani yenyewe..Ukiachana na Haile salasie strip, ambazo kuna Elements, SamakiSamaki na sehemu nyingi zengine za starehe. Clubs kama Maison na Havoc, Tips na wavuvi camp.
Sehemu kwengine Most ni average hata Bar iwe nzuri vipi. Kwanza the selection ya music ni ileile, Ma dj wanapiga nyimbo zile zile trendy Wala hawana exposure za mood na upana wa muziki.
Ila ndio hivyo consumers wengi wa Tanzania hawana exposure, hivyo ndio maana watu hawapo aware. Wamestuck na subpar music and a whole concept of fun.
Word.Ma DJs hapo kweli wengi ni new generation... Wanapiga New Hits & Tranding Songs za bongo, Amapiano music na Nigerian hits basi.... ma DJ wengi hawana uelewa mpana na muziki wa zamani au either hawana kabisa hizo nyimbo kwenye drive storages zao si watu wa kufatilia muziki kabisa ila wanaenda na upepo wa mkumbo, wengi wao hawana passion na fani yenyewe wanafanya tu basi kama sehemu ya kujiingizia kipato but out of their interests kutoka moyoni za fani yenyewe..
Let's say mimi ni DJ alafu anakuja DJ mwingine ananiomba External yangu kwenda kufanyia kazi sehemu utegemee atapiga nyimbo gani? Mostly ata search zile anazozijua tu kichwani mwake na zinazopatikana kwenye drive ndo ana load na kupiga.... Au anakuja ku copy mzigo wote kwangu ye hana hata nyimbo zake za tofauti utegemee nyimbo atakazo kua anapiga zina utofauti? Jibu ni uzembe wa DJ mwenyewe kutokua mbunifu na mwenye kujituma na si meneja mimi navyoona mbaya zaidi unakuta meneja nae kijana hajui nyimbo...Dj's wengi wa sasahivi wana fanana aina ya Play list wanazo piga..
Note..Mameneja pia wana changia kuajiri DJ asiye toshereza kwenye kutoa burudani..
Na vingine kiasi ila kwangu burudani kubwa sehem kama hizo huwa ni DJ mixing/playlist,huwa nikikuta DJ mkali naweza nisichomoke. Kuna siku ilikua week day pale wavuvi camp mida ya jioni tu DJ mkongwe Peter Moe alikua anapiga flash back zilikua tam sana,badae akamuachia dogo mmoja hivi basi yule dogo akaja na code zake za kitaa DJ Peter Moe akamfuata akamnong'eza kitu dogo akarudi kwenye track. Asikwambie mtu DJ Peter Moe anajua sana japo umri umekimbiaMkuu unaenda wavuvi camp kufuata muziki?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ameeeloooowa ameelooooowa amenyeshewaaaa na mvuuuua [emoji3]
maeneo mengi nikienda ni kwasabb ya [emoji481] na mamb mengine mziki ni kama sihusikiagi kabsa
Au hizi Singeli aisee mimi naindoka saa hiyo hiyo..Sehemu yoyote Ile yenye mapiano hua sikai.
Mimi Bar napenda mziki wa juuu na mdundo mzito...Nenda JAVA naonaga wanapangilia miziki fresh tena kwa sauti ya chini
Bar ya mtaani kwetu ππ wapige kelele wakati pale ni njia panda ya segereaKaribu hapa corner lounge karibu na shule ya makuburi jeshini,hukuti nyimbo za hawa wabana pua kirahisi yaani unakunywa serengeti liteπππ unaskiliza muziki ambao hata hujui spika zilipo
[emoji23][emoji23][emoji23] safi sana..anyway leo nilikua zangu Bar flani ukonga/Banana wameweka zao nyimbo ya kikurya watu wanacheza hatari aisee nmeenjoy sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna vitu ukiwa Maison hutavikuta kamwe
Yaah kikubwa upate burudani... it's good kama umeenjoy,mi pia kuna miziki huwezi kuta naiskiliza ila nikiona watu wanacheza naenjoyanyway leo nilikua zangu Bar flani ukonga/Banana wameweka zao nyimbo ya kikurya watu wanacheza hatari aisee nmeenjoy sanaπππππ kuna vitu ukiwa Maison hutavikuta kamwe