Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #41
Baba watoto wangu ni mtu poa sana, hana shida kabisa inayoweza kunifikisha huko unakowaza.Usikute unasaka namna ya kuhangaika negatively na mwanaume mwenzetu (baba watoto wako). Ndiyo maana tuna wasiwasi wa kuvujisha siri ya kambi.
Hakika,mi nimejifunza kama jambo ni Siri hata mama simwambii....hakuna Siri ya watu wawili hakikaKabisaa, Hapo kwa mama ujue jambo limeshakua la ukoo
Hii imekaa vizuri sana, kuwa na support system ni muhimu na ushauri wa kisaikolojia ukizidiwa ni lazima.Yupo jamaa yangu mmoja ni binamu yangu amenizidi miaka mitano. Yeye ndio huwa namshirikisha mbanga kama hizi za biashara na mahusiano
Nikiwa na mambo au vitu napenda kuzungumza na baba yangu mzazi. Yuko poa sana. Lakini pia napenda sana mazoezi binafsi na kucheza mpira inanifanya nijione bado niko alive.
Kuna kipindi nilipitia changamoto za kimahusiano nikatafuta mwana saikolojia tukashauriana mambo kadhaa maana nilikua naelekea kubaya.
siwajui wazazi wangu! Niliokotwa nikalelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima, sasa nimejitegemea, hapo nitamfata mzazi yupi mkuu?Safi,na Mimi usinitenge
Solution yao kubwa ni kuua au kujiua...hizi mbuzi🚮
Inasaidia sana hasa kwa sisi wanaume tuna cycle ndogo sana ya kuapata mtu wa kushare naye jamboHii imekaa vizuri sana, kuwa na support system ni muhimu na ushauri wa kisaikolojia ukizidiwa ni lazima.
Asante kwa reply yako Southern Highland
Kufanya mazoezi nayo ni namna mojawapo ya kurelease.Mwanaume ukiona umezidiwa kabisa kisaikolojia/msongo wa mawazo, piga push ups.
Kama una hasira ya kuachwa piga push ups utakuja kunishukuru.
Kuna watu ndoa zikiwazidia, ugomvi usiokwisha huwa wanaenda kwa washauri wa ndoa,
Halafu unakuta mshauri mwenyewe mwanamke.
N kutafuta bar zilizo na amsha amsha na kuinjoi na totoz kaliAfya ya akili kwa wanaume imekua tatizo linalokua kwa kasi sana na kusababisha matatizo na majanga ambayo tumekua tukiyasikia kila siku.
Naomba kuuliza wanaume mliopo JF:
- Huwa unazungumza na nani kuhusu matatizo au changamoto binafsi ulizonazo?
- Je ukikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, msaada huwa unapata wapi?
- Una mtu maishani ambaye unaweza kumwambia mambo yako ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)?
- Una mambo au vitu unavyopenda kufanya wewe mwenyewe ambavyo vinakupa furaha?
- Unaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale utakapoelemewa au watu wakikishauri kufanya hivyo?
Nauliza genuinely kwa sababu nataka kujifunza kama mama wa watoto wa kiume ambao watakuja kuishi kama wanaume kwenye jamii zetu siku za usoni.
Viongozi wa dini, usikute ba wenyewe wana changamoto! 😄 just kidding..Sijafikia hatua hiyo, ila kuna wana mna share vitu vingi si mbaya kuongea nae, na kama vipi muhusishe mdingi wako, ama viongozi wa kidini.
Afya ya akili kwa wanaume imekua tatizo linalokua kwa kasi sana na kusababisha matatizo na majanga ambayo tumekua tukiyasikia kila siku.
Naomba kuuliza wanaume mliopo JF:
- Huwa unazungumza na nani kuhusu matatizo au changamoto binafsi ulizonazo?
- Je ukikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, msaada huwa unapata wapi?
- Una mtu maishani ambaye unaweza kumwambia mambo yako ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)?
- Una mambo au vitu unavyopenda kufanya wewe mwenyewe ambavyo vinakupa furaha?
- Unaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale utakapoelemewa au watu wakikishauri kufanya hivyo?
Nauliza genuinely kwa sababu nataka kujifunza kama mama wa watoto wa kiume ambao watakuja kuishi kama wanaume kwenye jamii zetu siku za usoni.
Vipi kuhusu msongo wa mambo unaotokana na biashara au kazi au wale wengine wa kuliwa hela na LBL au betting 😂Ukijiepusha na kitu kinaitwa NDOA msongo wa mawazo labda ujitakie tu.
HakikaHuo ni ugonjwa wa akili au vilevi.Kama unajipenda Huwezi ua wala kujiua
Hapo ndiyo wanawake inatakiwa tupunguze mdomo tusimame na waume zetusiwajui wazazi wangu! Niliokotwa nikalelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima, sasa nimejitegemea, hapo nitamfata mzazi yupi mkuu?
Hii imekaa poa 👌Sijafikia hatua hiyo, ila kuna wana mna share vitu vingi si mbaya kuongea nae, na kama vipi muhusishe mdingi wako, ama viongozi wa kidini.
Mpe soln mkuu ..je kama ni single mama haishi na mumeHiyo sentensi yako ya mwisho inabeba majibu yote unayoyataka, kwa namna hizi;
1. Unamwonaje baba wa watoto wako..??
2. Baba wa watoto wako, anazungumza na wewe kuhusu matatizo au changamoto alizonazo?
3. Akikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, baba wa watoto wako, msaada huwa anapata kwako?
4. Baba wa watoto wako, ana mtu maishani ambaye anaweza kumwambia mambo yake ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)? huyo mtu ni wewe?
5. Baba wa watoto wako, ana mambo au vitu anavyopenda kufanya yeye mwenyewe ambavyo vinampa furaha?
6. Baba watoto wako anaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale atakapoelemewa au watu wakimshauri kufanya hivyo?
Sio wote wana hao mababa ambao wanaweza kuongea nao au kufunguka kwao. Wanaume wa namna hiyo wafanyaje sasa?hayo mambo yote huwa tunaongea na father na kwenye vikao vyetu, labda kama kikao cha mwisho hawakuhudhuria 😎
siwajui wazazi wangu! Niliokotwa nikalelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima, sasa nimejitegemea, hapo nitamfata mzazi yupi mkuu?
Na nyie ambao ni majike dume usalama wenu upo wapi?Afya ya akili kwa wanaume imekua tatizo linalokua kwa kasi sana na kusababisha matatizo na majanga ambayo tumekua tukiyasikia kila siku.
Naomba kuuliza wanaume mliopo JF:
- Huwa unazungumza na nani kuhusu matatizo au changamoto binafsi ulizonazo?
- Je ukikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, msaada huwa unapata wapi?
- Una mtu maishani ambaye unaweza kumwambia mambo yako ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)?
- Una mambo au vitu unavyopenda kufanya wewe mwenyewe ambavyo vinakupa furaha?
- Unaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale utakapoelemewa au watu wakikishauri kufanya hivyo?
Nauliza genuinely kwa sababu nataka kujifunza kama mama wa watoto wa kiume ambao watakuja kuishi kama wanaume kwenye jamii zetu siku za usoni.