Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Uliwahi kua mkristo?Nani anakupa mamlaka ya kuona wengine wana mahitaji makubwa kuliko wengine?Au kwa sababu huwa wananyamaza tu?Ligi itoke wapi wakati mnatolewa tongotongo?Nadhani acha ubishi mahitaji ya dini hizi ni tofauti kabisa sasa usilazimishe jambo ya kafanana. Mkristo hata akikosa misa haambiwi kwa imani kama katenda dhambi waislamu unaambiwa usikose swala na sio kukosa swala kwa muda wake ufanye ibada. Tusitake kila kitu kifanane kama ushindani wa Simba na Yanga.
Umewahi kwenda makanisa ya RC kwenye zile sala za asubuhi siku za kati za juma na saa sita mchana?Acha kupotosha.Tutaandika na mengine mchukie.Tofautisha kati ya sala na maadhimisho ya misa.Utaachwa na ndege ndugu yangu! Kuna misa ya dakika 5 kwani?
Ukitaka kuabudu kaabudie nyumbani kwako, msituletee ujinga.1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.
2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.
NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Katika huo ukatoliki mtu akiacha hizo sala anapata dhambi? Nijibu kwa mujibu wa ukatoliki.Uliwahi kua mkristo?Nani anakupa mamlaka ya kuona wengine wana mahitaji makubwa kuliko wengine?Au kwa sababu huwa wananyamaza tu?Ligi itoke wapi wakati mnatolewa tongotongo?
Kama kuna hadi slogan ..."Sala na kazi"...wewe kwa tafsiri yako unadhani ni kitu kidogo kwao?Si hivyo tu.Sheria mojawapo za kanisa RC inalazimisha waamini wake wahudhurie maadhimisho ya misa(sala)unadhani kwa nini?Katika huo ukatoliki mtu akiacha hizo sala anapata dhambi? Nijibu kwa mujibu wa ukatoliki.
Hizo sala ni lazima kwa wakatoliki? Yaani katika mafundisho yao wanaambiwa ni lazima wazisali na anayeziacha anapata dhambi?Umewahi kwenda makanisa ya RC kwenye zile sala za asubuhi siku za kati za juma na saa sita mchana?Acha kupotosha.Tutaandika na mengine mchukie.Tofautisha kati ya sala na maadhimisho ya misa.
Soma # 107Hizo sala ni lazima kama anayeziacha anapata dhambi?
Dhambi ni nini?Katika huo ukatoliki mtu akiacha hizo sala anapata dhambi? Nijibu kwa mujibu wa ukatoliki.
Narudia tena. Hizo sala ni lazima kwa mujibu wa ukatoliki na anayeziacha anapata dhambi?Kama kuna hadi slogan ..."Sala na kazi"...wewe kwa tafsiri yako unadhani ni kitu kidogo kwao?Si hivyo tu.Sheria mojawapo za kanisa RC inalazimisha waamini wake wahudhurie maadhimisho ya misa(sala)unadhani kwa nini?
Ndiyo maana serikali inapaswa kujiweka kando na imani za watu. Halafu hai akina Mwamposa kwanza siyo Churches bali ni Ministries, pili ni state made churches/ministries. Serikali kupitia mikakati na mikino yake inajenga baadhi ya dini huku ikibomoa nyingineTatizo la ukristo utajenga makanisa mangapi? Mana ukijenga la roma wafuasi wa mwamposa watakuja juu, ukijenga la mwamposa wafuasi wa kiboko ya wachawi nao watamaindi,, Uzuri wa uislam ibada ni moja na utaratibu ni huo huo dunia nzima so awe mchina, mndengereko, mzungu utaribu ni huo huo ndo mana inakuwa raisi kuweka msikiti kwa upande wa waislam, yani kwa faida yenu tu msiojua mnavyosikia Shia na sunni basi mjue ibada ni ile ile tu hakuna anaeswali nyakati kumi isipokuwa swala ni tano vipindi vile vile na utarabu ni ule ule dunia nzima,,, karibu ninapoishi kuna kanisa, ila rafiki yangu mkristo ye hasali apa anaenda mbali, nilipomuuliza akasema ye kaokoka lile kanisa la pale karibu hawajaokoka,, sasa hayo makanisa apo Airport utajenga mangapi,,,,
ﹰSoma # 107Hizo sala ni lazima kwa wakatoliki? Yaani katika mafundisho yao wanaambiwa ni lazima wazisali na anayeziacha anapata dhambi?
Angalau mwamposa tu inatosha.Utajenga makanisa mangapi kwenye airport?
TAG, KKKT, RC, PENTECOSTE, AIC, EAGT,FBF, Kila mmoja atataka sehemu yake ya kuabudia. Si itakuwa fujo
Kwani kwenye hiyo airport pia kumejengwa misikiti miwili(2) ya Sunni na Shiya ?Utajenga makanisa mangapi kwenye airport?
TAG, KKKT, RC, PENTECOSTE, AIC, EAGT,FBF, Kila mmoja atataka sehemu yake ya kuabudia. Si itakuwa fujo
Msikiti upi?Tatizo la ukristo utajenga makanisa mangapi? Mana ukijenga la roma wafuasi wa mwamposa watakuja juu, ukijenga la mwamposa wafuasi wa kiboko ya wachawi nao watamaindi,, Uzuri wa uislam ibada ni moja na utaratibu ni huo huo dunia nzima so awe mchina, mndengereko, mzungu utaribu ni huo huo ndo mana inakuwa raisi kuweka msikiti kwa upande wa waislam, yani kwa faida yenu tu msiojua mnavyosikia Shia na sunni basi mjue ibada ni ile ile tu hakuna anaeswali nyakati kumi isipokuwa swala ni tano vipindi vile vile na utarabu ni ule ule dunia nzima,,, karibu ninapoishi kuna kanisa, ila rafiki yangu mkristo ye hasali apa anaenda mbali, nilipomuuliza akasema ye kaokoka lile kanisa la pale karibu hawajaokoka,, sasa hayo makanisa apo Airport utajenga mangapi,,,,
Nani aliyeweka hayo mapumziko? Mkiamua kufanya kazi pasipo kupumzika hiyo ni nyie. Mkiamua kubadili siku hiyo ni nyie. Msingi wa mapumziko Jumamosi na Jumapili ni sababu babu ni weekend siyo kwa sababu ni Church days.Unaonaje tukaondoa mapumziko Jumamosi na Jumapili? Unaonaje tukaondoa likizo Krismasi na mwaka mpya wa miladia na likizo ya pasaka? Nyie watu kuweni wavumilivu. Tuishi kwa amani na kuvumiliana. Huwa mnawasema Waislam sana kuwa wana chuki na nyinyi ndio mna upendo kuliko watu wote ila ndio mnaongoza kwa chuki zisizo msingi. Hivi Waislam wakianza kuleta nongwa za ajabu ajabu itakuwaje?
sasa mkuu wakisema wajenge kanisa watajenga la wakatoliki? pentekoste? africa inland church? kiboko ya wachawi? at least wenzetu wanawza sali msikiti wowote na inajulikana wana swala kadhaa kwa siku.1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.
2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.
NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.
Hinduism, kichagga etcDini nyingine Kama zipi? Zitaje hapa Sasa.
Kutumia Hela ya wananchi kujenga nyumba za ibada za watu Fulani ni ujingasasa mkuu wakisema wajenge kanisa watajenga la wakatoliki? pentekoste? africa inland church? kiboko ya wachawi? at least wenzetu wanawza sali msikiti wowote na inajulikana wana swala kadhaa kwa siku.
Mambo mengine ya kuacha yapite tu ni jamii kukubaliana tu
Wewe ni mdini na una roho ya kwanini. Safisha nafsi yako utakuwa na amani.Uliwahi kua mkristo?Nani anakupa mamlaka ya kuona wengine wana mahitaji makubwa kuliko wengine?Au kwa sababu huwa wananyamaza tu?Ligi itoke wapi wakati mnatolewa tongotongo?
Huo ni ujinga , airport sio sehemu ya ibada hakuna haja ya kuweka sehemu ya kuabudia kwa dini yeyote ile , wakianza huo upuuzi basi na wale wengine nao watadai maana ni haki yao pia , maana kwa style hii watajenga kila mahali penye mradi wa serikali na hapo sasa ndipo serikali inapo geuka kuwa wakala wa dini fulani serikali iachane na hizo mambo zitaamsha migongano.1. Sehemu za Kuabudia Airport iwe takwa la Kisheria na sio hisani kama inavyofanyika sasa au kupendelea upande moja.
2. Laiti airport pangejengwa Kanisa tu sijui hali ingekuaje mpaka sasa.
NB: JNIA Terminal 3 wamejitahidi Ila wamesahau dini nyingine, kwanini? KERO.