Sehemu za mwili zikicheza je Zina ashiria nini sana sana na matukio gani? karibu wenye uelewa wa elimu ya nafsi...

Wataalamu wa afya watatusaidia kupata majibu sahihi
 
🔹
🔹 Hilo ni tatizo la mzunguko mbaya wa damu mwilini

🔹 Sehemu zinazocheza damu ya kutosha haifiki na kufanya misuli ya sehemu hiyo kutikisika

🔹Ukitaka kutibitisha ngombe au mbuzi akichinjwa na damu ikishaisha unaona nyama zinacheza cheza yenyewe. Huu ni utibitisho kuwa sehemu hizo zinazocheza damu ama imepungua au haipo

🔹Achana na utopolo wa waswahili kuwa atakuja Mgeni au kupata fedha nenda hospitali kapime cardiovascular system , nerves na mishipa ya damu kwa ujumla
 
Ng‘ombe, Nyati nk wakiwa na afya tele wanaweza chezesha ngozi zao

Je, wakitaka kuchezesha ngozi zao huwa wana hakikisha damu haipo ktk eneo ambalo wanataka kuchezesha Hiyo ngozi?
 
Mkuu wewe unaelezea baiolojia lakin sisi tunataka necha
 
Mfano, ukiwa unatoa hewa chafu, tumbo si linakuwa limejaa gesi kwa kuvimbiwa? Hivyo hivyo na viungo vingine vikicheza​
Sasa apo ni kuongelea necha mkuu binafsi kama kuna msiba jicho tajwa apo juu huwa linacheza na kama kuna hatar la kulia hucheza kuhusu mikono kuwasha ni kweli pia
 
Ndugu yangu hakuna cha nini wala nini. Huo ni mfumo wa mwili wako
Mimi vidole vya mkono wa kushoto vikiwasha,hiyo ni hela ipo njiani tena karibu,mwanzo nilikua nabisha,ila trend ikazidi,ukiwasha wa kulia napoteza hela/dili,yaani hadi nashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…