[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sometimes lazima kujiachia kidogo.. Niko likizo acha nile bata kwanza
Nakuharibia kwa H. O. E?
Sawa sikuharibii tena
Itume hivyo hivyo acha uchoyo mbona hata mie kama wewe na nimetuma hapa
Ndiyo maana sikupati tena, na kila nikija ofisini nashindwa kujieleza wakaniruhusu kuingia.
My apology... Sina maana mbaya wala hakuna shida... Ulichotoa ni angalizo muhimu sana lakini wengi huku hawako kule kwenye siasa na malumbano ya uchumi pamoja na maendeleo ya nchi... Hivyo wako huru sanaKwani kunatabu kusema nionavyo?
Nipo mitaa ya ccbrt hapaBeach?
Mnabadili sana ID unaweza kukuta nachat na Ex wangu hapa halafu sijijui
Mnabadili sana ID unaweza kukuta nachat na Ex wangu hapa halafu sijijui
Ha ha ha! Sawa.
Sema anapotea sana JF huyo mtoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]ngoja nirudi kwetu Msata
Nishatuma kitambo sana.Wewe ya kwako iko wapi?
Una vidole vizuri kama vyangu [emoji4]
Nakuja PM, maana najua nimekuona leo sikuoni tena.
Haaa na kweli... maana niki log out kuja kuchat tena hivi sijui lini
Nshakutumia