Kweli kule Kuna wagumu tu,
Bebez zipo huku nimeshuhudia Leo before nilijuwa jf tupo boys tu kumbe totoz wapo wa kumwaga.
Nimepitia hii nyuzi mwazo mwisho sijaona hata kapicha kako ndo naomba pm.
Mi nimeisave naendelea kushangaa uumbajiKhaaa
I cant wait jamanii[emoji91][emoji91]Hahhahah ngoja nikaupare
Ndo hivyo my dearKweli bora kinga kuliko tiba wehu wengi humu
Mungu anakuzooommm ujueeMi nimeisave naendelea kushangaa uumbaji
Soon utaiona dear[emoji1]Tuma ya kwako fai
Mimi ni mkubwa mzee picha yangu itakuchosha tu, we furahia za hapa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi ndio waha eehKwetu mnabishana, halafu mmoja akitaka kwenda mahali anamwomba mtu amshikie ubishi, aliyebaki ameshika ubishi ni mbishi kuliko mwenye ubishi. Na mwenye ubishi akija anaendeleza pale alipoishia yule aliyemshikia.
Tatizo hujiamini wakati ni kisu balaaHahhahaah mi ndo naleta porojo tu mpaka sass hata ya kugugo nimeshindwa
Noted sisy
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]mbona kama umefanana na dada yangu toka nitoke yaani pua na mwanya hivyo hivyo aiseView attachment 1218884Sasa uko na kichwa, kiuno na miguu!!
Umependelewa sanaMungu anakuzooommm ujuee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi ndio waha eeh
Ni miongoni mwa wanaume wanaojitambua humu jf.Boss hata comments zako ninazipenda pia, very matured sasa weka picha.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gugo auntie
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]mbona kama umefanana na dada yangu toka nitoke yaani pua na mwanya hivyo hivyo aise
Mshukuru Mungu kwa hilo babake mtoto mzuriUmependelewa sana
Hivi na yeye sio wa kigoma kweli?Kigoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]