Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi ni mkubwa mzee picha yangu itakuchosha tu, we furahia za hapa jukwaani.
Kweli kule Kuna wagumu tu,
Bebez zipo huku nimeshuhudia Leo before nilijuwa jf tupo boys tu kumbe totoz wapo wa kumwaga.

Nimepitia hii nyuzi mwazo mwisho sijaona hata kapicha kako ndo naomba pm.
 
Kwetu mnabishana, halafu mmoja akitaka kwenda mahali anamwomba mtu amshikie ubishi, aliyebaki ameshika ubishi ni mbishi kuliko mwenye ubishi. Na mwenye ubishi akija anaendeleza pale alipoishia yule aliyemshikia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi ndio waha eeh
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]mbona kama umefanana na dada yangu toka nitoke yaani pua na mwanya hivyo hivyo aise
[emoji8][emoji8][emoji8]
Bahati mbaya sana mie last born my dear... ama nikuwe mdogo wako!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…