Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Inner beauty [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hiyo ni Photoshop isikuumize kichwaMkuu hiyo avatar yako kila nikiiona naitafakari ila sijawahi kuipatia jibu ni kwamba hiyo sura ndiyo imechorwa kwenye hivyo vidole au hivyo vidole ndiyo vimechorwa kwenye hiyo sura??
Sasa kama ni hivo kilichokupa jeuri ya kusema kila mwanaume kamili lazima akubaliane na wewe ni nini?Dah jamani... Ukikubali kwamba duniani huwezi kumvutia kila mtu wala huwezi kupendwa na kila mtu... Utaishi kwa Amani sana
Ndugu yangu scorpio me picha ulizoweka hapa zina mvuto sana... Hakika Mungu amekubarikia
Jf imejaa vituko sana!! Yaani mtu mnahangaika kuvaa vijinzi vyenu vipya ili mradi tu muonekane mko safii!!
Sililiii kusifiwa humu jf kupitia picha nikipita kitaa wanaume wenzio wakakimbizana inanitosha sana,
Mantiki yangu unajitia kuikwepa kwenye "wivu"
Mtoto wa kichaga nini?
ngómbe hazeeki maini mjukuu..... utakosa uhondo na utamu kuniona mzee...
Uache huohuo umependeza
Unitoe huku bush kwakweli na mie nisifiwe!!!!Acha kunifanyia hivyo.
Nimekwama mambo mengi yamezidiOok poapoa karibu sana
Wanangu babu yenyu hapa nauza miatu ya kishua kabisa..tena Kwa bei nafuu kabisa...hivi mbona hamuulizii nilipo?Nami natupiamo kaselfieView attachment 1218970
Imagination tu
Nakubali.Picha yako wewe 100% mzuri,iko full no doubt. Hii ingine ni imagination tu, imagination inaweza kukufikisha nje ya dunia, that's all, imagination.
[emoji23][emoji23] Dah sijaelewa unachoshindaniaSasa kama ni hivo kilichokupa jeuri ya kusema kila mwanaume kamili lazima akubaliane na wewe ni nini?
.
Kama kila mtu ana namna yake anavovutiwa?