Selfika na JF: Snap it. Show it

Shepu la haja linaonekana bila hata kuforce kuinamisha camera πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Huyu Bantu ni hatari
😍😍😍 odo hizo pisto Mashallah
Nyie Mungu anaumba km umeshushwa!!
Awwwwhh shem kajipata jamani had hips don lie zipo? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sie tuliodondokea bafuni turudi tukafanyike upya πŸ˜₯
 
Weeh na nyingine zipo?? Hizo sasa si ndo hatari odo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Em angalia album uniletee nione neema za Alhaah 😍😍😍
Yani shemeji anaenjoy pepo akiwa duniani wenzie wanasubiri mpk wafe?!! 😹😹
 
Thubutuuu.!! Huyo tumuache mi niko km Ruby mifupa mitupu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bl ana balaa pisto zimechomoza km kang’atwa na nyuki, mi ss nimeshuka km moja mbele sichezi, nyuma sitikisiki 🀣🀣🀣
Haya wewe tunza rekodi yako ya mtindi.😊
 
Toka asubuhi nakupiga jicho utadhani nachochea maharage yasiungueπŸ˜‚

Yaani wewe ile namba Moja ya wenye shepu unaichukua wewe
Anayebisha aweke picha yake πŸ”₯πŸ”₯
Nkamu kuna vayolensi una roast nakuzoom πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shepu la haja linaonekana bila hata kuforce kuinamisha camera πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Huyu Bantu ni hatari
Kumekucha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nkamu nilitaka kuaga naona unanivuta niendelee kukaa 😹

Nani anaforce na kuinamisha camera kwani??
Au coca?? Hebu mtaje kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…