Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shepu la haja linaonekana bila hata kuforce kuinamisha camera πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Huyu Bantu ni hatari
😍😍😍 odo hizo pisto Mashallah
Nyie Mungu anaumba km umeshushwa!!
Awwwwhh shem kajipata jamani had hips don lie zipo? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sie tuliodondokea bafuni turudi tukafanyike upya πŸ˜₯
 
Unajua Odo nacheka, sijui haya maneno unayatoaga wapi jamani. Hakuna tena nimejipunguza, zimeisha kabisa. Siku nitakutumia TBT.
Wewe ulivyo vizuri vile, mshukuru Mungu kipenzi. Umemuona shemeji yako. Kanishtukiza na picha sikujiandaa 🀣🀣🀣🀣🀣
Weeh na nyingine zipo?? Hizo sasa si ndo hatari odo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Em angalia album uniletee nione neema za Alhaah 😍😍😍
Yani shemeji anaenjoy pepo akiwa duniani wenzie wanasubiri mpk wafe?!! 😹😹
 
Thubutuuu.!! Huyo tumuache mi niko km Ruby mifupa mitupu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bl ana balaa pisto zimechomoza km kang’atwa na nyuki, mi ss nimeshuka km moja mbele sichezi, nyuma sitikisiki 🀣🀣🀣
Haya wewe tunza rekodi yako ya mtindi.😊
 
Toka asubuhi nakupiga jicho utadhani nachochea maharage yasiungueπŸ˜‚

Yaani wewe ile namba Moja ya wenye shepu unaichukua wewe
Anayebisha aweke picha yake πŸ”₯πŸ”₯
Nkamu kuna vayolensi una roast nakuzoom πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shepu la haja linaonekana bila hata kuforce kuinamisha camera πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Huyu Bantu ni hatari
Kumekucha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nkamu nilitaka kuaga naona unanivuta niendelee kukaa 😹

Nani anaforce na kuinamisha camera kwani??
Au coca?? Hebu mtaje kwanza
 
Back
Top Bottom