Tatizo sichelewi kuimeza, ujue kuna vitu vina mwenyewe, mi kwenye urembo hela yangu inaishiaga kwenye nywele bhana sio wigs ila misuko napenda sanaAuntie wangu akikupaka lipstick
Sikupatii picha utakavyopendezaπ
Siku nikiweka kopeππππ nouma sana.!!
Mi makeup naiogopa nimenunua ila naishia kuitazama, kope nilikuwa mpenzi ila ss hivi sitaki hata kuziona⦠sijui nimeanza kukua?!!
Siku hizi had vitenge najifunga eti km mama kitulano πΉπΉπΉ
Mi nimekubali zimenishinda sizitaki kabisaKuna birthday moja nilialikwa, birthday girl aliposimama, rafiki yangu akanambia mbona birthday girl kafanana na Michael Jackson?π
Aisee kumtizama kwa makini nilicheka sana, amefanana na yule MJ kwenye Thriller...
Make up hizo, ukiwa mzuri mbona huwa sioni haja ya make up?
Au ni kukariri?
Huwa naona kazi ya make up ni kutoa tu zile black dots, makovu au chunusi sehemu baadhi ya uso kwa ajili ya photoshoot...
Na hapo mpakaji make up awe hodari kuchanganya hizo make up ziendane na skin tone yako... Mtu mweusi unapakwa make up ya brownπ
Kama vipi wafungue aiseeπππππHilo dude la moto sana nilipewa na ini mwenyewe πππ
Ila mie isingekuwa kuuza vijora ningefungua app yangu ya umbea mana nikikamia jambo mpk nilijue π€£π€£π€£
JF wangekuwa wanaruhusu kuleta umbea wa members ningewapa burudani humu kuna burudani nyingi sanah.!!
Kope sijawahi kuweka ila nahisi naweza kupendeza labdaππnaonaga bora kope kuliko makeupSiku nikiweka kope
Nadhani nitakuwa namuona Shumileta usoni kwangu
Watakuwa wamelala nimewaomba mara mbili! Huu ndo muda wa kufanya matukioMuombe mod aifute
Sasa mtu unakuta lifestyle yako hujali ngozi, ngozi imekuwa ngumu ya kenge ina nafuu, halafu unategemea make up ifanye maajabu... Hapo make up itadundaUnakuwa km unazomea watu km unataka kulia km unakata gogo gumu liligoma kuuacha mwili,,,, aaaaahh ππ
We vyote itapendezaπ₯π₯π₯π₯π₯Kope sijawahi kuweka ila nahisi naweza kupendeza labdaππnaonaga bora kope kuliko makeup
We mzee inni ndo nani Bantu Lady mzee wa hall v kashayatimba huku
SureMimi make up najua kujipaka vizuri. Ila kwasasa nimeacha, niko busy na skin care so uso hauhitaji make up. Muda wote ngozi imeglow.
Acha kutufukuza pm kijanja ..Hapo zamani sahiz nipo km kizuka yaani madela ndo yanafit Nilicheka km nazomea ila maisha haya π€£π€£π€£
Umeonaee wanawake tuna mengi jamani mara ngozi mara nywele mara msuko mara makeup nayo idunde uwe kituko, mara pozi bado mpiga picha asiwe na tekno wereva na ajue kuwa mpiga picha bado uwe mcute, kuwa mrembo ni shughuli tunapitia mengi na magumuSasa mtu unakuta lifestyle yako hujali ngozi, ngozi imekuwa ngumu ya kenge ina nafuu, halafu unategemea make up ifanye maajabu...
Hapo unaionea make up...
Wadada ngozi ni sehemu ya urembo si kusuka tu na kuvaa...
Bora sie wanaume...
JF kuna maujinga mengi πππKama vipi wafungue aiseeπππππ
Nkamu uko vzrπππππ
Mie naona tu maini
Sielewi kitu aisee
Hapo kwenye vitengeππππ nouma sana.!!
Mi makeup naiogopa nimenunua ila naishia kuitazama, kope nilikuwa mpenzi ila ss hivi sitaki hata kuziona⦠sijui nimeanza kukua?!!
Siku hizi had vitenge najifunga eti km mama kitulano πΉπΉπΉ
My Wii nimecheka Kwa nguvuπ€£π€£π€£JF kuna maujinga mengi πππ
Kuna soo lilitokeaga humu kuna member wakafungua group la kumdiscuss wakawamuadd mpk mtuhumiwa kwa id yake nyingine akawa anawachora na ushauri anatoa jinsi ya kumuadabisha π€£π€£
Alivyonisimulia nilicheka πΉ
Hee ππππππJF kuna maujinga mengi πππ
Kuna soo lilitokeaga humu kuna member wakafungua group la kumdiscuss wakawamuadd mpk mtuhumiwa kwa id yake nyingine akawa anawachora na ushauri anatoa jinsi ya kumuadabisha π€£π€£
Alivyonisimulia nilicheka πΉ
Tunasubiri somo Auntieπ₯π₯π₯Sana hiyo angle naiwezea kama kapeace asiependa lipstick
Wanja namafuta vinatosha kma hivi View attachment 3104911
Unanijaza π€£π€£π€£Tunasubiri somo Auntieπ₯π₯π₯
Hii sekta huna mpinzani tz nzima π₯