Tajiriii anatoaa vochaa kubwaa kubwaa hadi unaogopaaaa.Ombeni mtapewa
Aombaye hupokea.
Mimi na cocastic tuliomba hapahapa jukwaani
Tunaomba tajiri atuwekee pm ili wahuni wasije wakapita nazo hapa.
Tajiri amenitoa kwenye bando za miatano na buku[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tajiriii akifaa haoziiiii, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Halafu hana maneno mengi
Maneno kidogo vocha kubwa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hana baya tajiri
Huyu akimaliza mitano tuliyompaTajiriii anatoaa vochaa kubwaa kubwaa hadi unaogopaaaa.
Tuliombaa hapaa, na Tumewekewaa PM.
Bantu Lady ishii sanaa luv, hunaa bayaaa, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Akioza hanuki tajiriTajiriii akifaa haoziiiii, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Naunga mkono hoja tajiri Hana baya Aishi maisha marefu sana 😎Tajiriii akifaa haoziiiii, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
😄😄Hakika ombeeni mtapewaOmbeni mtapewa
Aombaye hupokea.
Mimi na cocastic tuliomba hapahapa jukwaani
Tunaomba tajiri atuwekee pm ili wahuni wasije wakapita nazo hapa.
Tajiri amenitoa kwenye bando za miatano na buku🔥🔥🔥🔥🔥
Naunga mkono hojaAkioza hanuki tajiri
Huyu siti yake mbinguni ni ya VIP karibu na akina Ayubu🔥🔥🔥
Mtotrooooo mrembo upoooMorning wapendwa!
Muwe na Tues day njema
Khaaa mpk ww V😄Naunga mkono hoja
Mambo T upo gudi? Tunaweza kupata kahawa mchana wa Leo hapa kariakoo 😎😄😄Hakika ombeeni mtapewa
Forever and always binti sayuni za masiku mingi??Mtotrooooo mrembo upooo
Picha kalii sanaMorning wapendwa!
Muwe na Tues day njema
Poooa VMambo T upo gudi? Tunaweza kupata kahawa mchana wa Leo hapa kariakoo 😎
Mungu mwema, nashukuru Niko salama!Forever and always binti sayuni za masiku mingi??
Sikuhizi uliacha kabisa kuselfika jamani nimemiss naked zako fanya manuva uibles asubuhi yangu!
Sure mamy with time utakaa sawa tu!Mungu mwema, nashukuru Niko salama!
Hamna SI unajua mapito inachukua Muda kukaa sawa!
Sina picha mpya😄😊
Mlishaziona hapa mbona Sina mpya😊Sure mamy with time utakaa sawa tu!
Wee tupia hizooo hizo uzonazo bana kitambo sana sijakuona walai! Usiniangushe Binti sayuni
Wangu kipenz umekomaa komaa hatari ndio maisha 😀😀😀nitafanyaje SasaShangazii huu mkono wa naniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mlishaziona hapa mbona Sina mpya😊