Inasaidia kuamsha vilivyolala kwetu WanaumeInafanya kazi gani Ili nianze kutengeneza hapa nyumbni😃
Nimekula chumvi nyingi ujue, hadi Mvi zimeamua kujenga urafiki na Mimi 😜Kwa uzee gani ulionao jamani halafu toka nizaliwe sijawahi kukiona kiko😀
Mda wote utakuwa unapika tu navyomjua mzee wa hall v.Unapenda kula wew😃
Hahaha..........na nilivyo busy Siku hizi kuitafuta pepo, useme macho tu yananiangusha kutaka kuangalia Kila mali safi ipitayo barabarani
uzinzi tu, mtseeeuuuw'...!!D.i.c.k..holder
Kumbe eehMda wote utakuwa unapika tu navyomjua mzee wa hall v.
Hio ni mashine
Record zake kuna sehemu zimetunzwa na hazijavunjwa
🤣🤣🤣🤣Mda wote utakuwa unapika tu navyomjua mzee wa hall v.
Hio ni mashine
Record zake kuna sehemu zimetunzwa na hazijavunjwa
Hawajui tushakula hadi mahari aisee😂Nani kakupa ruhusa ya kunigawa mkuu..?
Hiyo mikono imenichanganya saana kwa kweliuzinzi tu, mtseeeuuuw'...!!
Sindiyo Bro..Hawajui tushakula hadi mahari aisee😂
Hupitwi kama mzee GrahamsOyaaa Kapachino wewe ndio hashimu ibwe ???View attachment 3121278
Ni Balaaa 🔥🔥🔥🔥🔥😊Oyaaa Kapachino wewe ndio hashimu ibwe ???View attachment 3121278
Hawa watoto wa 2000 kwako si vilembwe hawa mzee.Hahaha..........na nilivyo busy Siku hizi kuitafuta pepo, useme macho tu yananiangusha kutaka kuangalia Kila mali safi ipitayo barabarani
Last time nilikimbizwa hospitali Kwa maumivu ya shingo yaliyotokana na kugeuza shingo mara Kwa mara kuangalia hao mabinti wa Mwaka 2000 hapo geti la Mlimani city 🙌