Kismayo hatari na nusuπHahah, haiwezekaniii
Kumbe sio mahala pa masihara kutoboa?
Na ni ilikuwa Mogadishu au kipande gani?
Inshaalah kipenzi itakuwaπMpendwaπ₯π₯π₯π₯
Sisi wengine tunafukuzia ofa za precision Kwa Shabiby ili tukwee pipa
Hahah, noma sana.Kismayo hatari na nusuπ
Umetokea muujiza Mpendwa,sijui ni jana sijui juziInshaalah kipenzi itakuwaπ
Kunicheki hapana mkuu,Ukiwa na nia utafika inshaalahπHahah, noma sana.
Lugha pia si itanipa changamoto kuwasiliana nao?
Nitahitaji taarifa zaidi kufika huko, naweza kukucheki?
Yaani hakuna usafiri nauchukia kama huo japo kuwa nimepanda mara nyingi,naogopa pale inapoanza kupaa na kushuka πππUmetokea muujiza Mpendwa,sijui ni jana sijui juzi
Abiria wa Shabiby waliokata tiketi Dar Dom wakapewa ofa ya kupanda ndege precision πππ
Tunasubiri sijui hii bahati itajirudia tena lini
Abiria wa Shabiby ilikuwa ni shangwe wakaokota dodo kwenye mnaziπππYaani hakuna usafiri nauchukia kama huo japo kuwa nimepanda mara nyingi,naogopa pale inapoanza kupaa na kushuka πππ
Namtuma muhudumu akuletee kinywqjiWatu wa Morogoro njooni mninunulie soda ππΎββοΈ
View attachment 3124276View attachment 3124277View attachment 3124278
Asante sana..Kunicheki hapana mkuu,Ukiwa na nia utafika inshaalahπ
Dah! nyumbani.Watu wa Morogoro njooni mninunulie soda ππΎββοΈ
View attachment 3124276View attachment 3124277View attachment 3124278
I'm anxiously waiting ππΎππΎπNamtuma muhudumu akuletee kinywqji
View attachment 3124316
πππππTimu mbovu hiyo mkuuu
πππWatu wa Morogoro njooni mninunulie soda ππΎββοΈ
View attachment 3124276View attachment 3124277View attachment 3124278
Hiyo timu na man U dam damπππππ
Naunga mkono hoja kaka π πHiyo timu na man U dam dam
Mateso ni Haki yetu kabisa.Ndo maana mkaambiwa mmeumbiwa mateso ππ
Sisi tumeamka Salama salmini.Habari za asubuhi waheshimiwa na matajiri kutoka kusini mwa jangwa la Sahara
Happy Nyerere day...Naunga mkono hoja kaka π π