Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Cc min -me karibu sana kaka
IMG_20241002_210925_963.jpg
 
😅😅😅 akinifia kesi kwako! Maana hiyo kisukari na presha ikipanda ndo basi tena
Mimi huwa natembea na dawa zangu za Presha, kwahiyo ukiona inapanda katikati ya safari haraka sana unaninywesha 😜

Tuoneeni huruma Wazee 🤗🤸🤸
 
Sio kupunguza acha kabisa kina grand-papa hawapendi kupandishwa visukari gulu 😂😂

Babu Grahams kasema week-end muende akakuonyeshe ofisi za Afro Shiraz zenziberi, jioni mkale urojo 🤣🤣
Bora umesaidia kumkumbusha, maana pension ya Mwezi September imetoka juzi tu 🤗
 
Mimi huwa natembea na dawa zangu za Presha, kwahiyo ukiona inapanda katikati ya safari haraka sana unaninywesha 😜

Tuoneeni huruma Wazee 🤗🤸🤸
Wanaume mnapenda chini, bamkwe wangu ana 90 yrs sasa ni mgonjwa na ngoma haisimami sasa anavyolalamika kuwa madr wamempa dawa za kumuharibu, unajiuliza miaka 90 kujamba kwenyewe ni kazi lla anataka dudu liinuke ili akamt....be nani?
 
Achana naye huyo babu yy gari lake liko wapi? 🤣🤣
Hahaha..............amenambia yeye anaendesha Toyota Prado TX ya Mwaka 2022

Nimemwambia mkija kutusalimia Likizo ya Mwezi December aje mnipe lifti kidogo 😜
 
Wanaume mnapenda chini, bamkwe wangu ana 90 yrs sasa ni mgonjwa na ngoma haisimami sasa anavyolalamika kuwa madr wamempa dawa za kumuharibu, unajiuliza miaka 90 kujamba kwenyewe ni kazi lla anataka dudu liinuke ili akamt....be nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume mnapenda chini, bamkwe wangu ana 90 yrs sasa ni mgonjwa na ngoma haisimami sasa anavyolalamika kuwa madr wamempa dawa za kumuharibu, unajiuliza miaka 90 kujamba kwenyewe ni kazi lla anataka dudu liinuke ili akamt....be nani?
Hahahaha.................hakuna Starehe nzuri kama hiyo, ni vile tumezeeka

Maana Kwa umri huu unakuta nafsi inatamani lakini hata ukipewa, ukijitutumua sana kimoja chali...

Baada ya hapo uwe karibu na dawa zetu za Presha 😜
 
Hahahaha.................hakuna Starehe nzuri kama hiyo, ni vile tumezeeka

Maana Kwa umri huu unakuta nafasi inatamani lakini hata ukipewa, ukijitutumua sana kimoja chali...

Baada ya hapo uwe karibu na dawa zetu za Presha 😜
Kwa alivyo hata hiyo kimoja hawezi nguvu za kuchomeka tu hana, ila ndo anataka dude liinuke inuke tu
 
Babu njoo umsikie mjukuu wako anavyosema Grahams eti wewe muoga?!!
Hajui km nyie ndo mlipigana na mkoloni fiftini nainte kweusi 🤣🤣🤣
Hahaha..........mwambie Uzee dawa, tunaweza kumshinda adui hata kama bunduki zetu hazitoi risasi 😜
 
Kwa alivyo hata hiyo kimoja hawezi nguvu za kuchomeka tu hana, ila ndo anataka dude liinuke inuke tu
Hahaha.................lakini akikutana na hawa mabinti Mafundi wa kuimba na Maiki anaweza kusimama japo Kwa kuchechemea 😜🏃🏃

Bora tumezeeka sasa 🤗
 
Back
Top Bottom