Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 Mpelekee babu ugolo, ila mahi twende mbele tusirudi nyuma UMESIMAMA
Yani roho itaniuma babu akikosa kutalii hizo hips 😹
Babu yangu napenda azeeke vizuri bila stress na pension zake..!
Nimecheka jf watuwekee voice chat aaaaiiii, asante kwa kunifurahisha na kunipamba namna hii!! 🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo mizigo kuna dogo anatoka nayo border Tunduma sasa inatakiwa aitume Mwanza, nimeumiza kichwa sipati jibu..!
Dah.! Sijui ntafanyaje hao katarama na premier nilitaka uzoefu wao, mana kampuni zingine zinapoteza mizigo ya watu.
Kwa kweli hii route sijawahi kujaribu kusafirisha mzigo ila jaribu premier
 
Babu huyu lazima umpate kwanza pisi ya moto hii kuikosa ni sawa km hujaizunguka dunia 😹😹😹

Huyu mtoto wa moto babu.!! Kaizidi ile mibibi yoteee 🤣🤣🤣
Huyu mtoto kasimama, unakijua kisu? Sasa hii sparkle achana na ile mijokeri imezeeka 😹😹😹🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Halafu aselfike jamani
Tumemiss picha Kali,picha za itel tumezichokaa humu

Tajiri wa dunia pia Bantu Lady tunasubiri atusafishie ukungu
 
Nimepitia comments kwa uchache ila kuna umbea nimeuona 😂😂😂

Sijui niseme? Au basi siku nyingine 😹😹
Bora umeonekana!!
Kuna mda nikasema au we ndo D double D. Nikawa nawasi wasi sana aise.
 
Back
Top Bottom